monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
Leteni ushahidiKibo complex ya Mama Mkapa, Jamaa ni mshika mapembe tu
Nyie si ndio mlkuwa mnasema jengo la tanesco ubungo la Lowasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leteni ushahidiKibo complex ya Mama Mkapa, Jamaa ni mshika mapembe tu
Ukabila gani nimeanza kwa kusema anapotokea??
Uthubutu, kawatishie naww Kama unawezaDab utajiri wake ni sawa nabujambazi tu, kuamrisha aletewe pesa kwa kutishia watu huo nao utafutaji?
Anaweza kuwashauri watu kitu gani?
Je laizer unamuweka wapi?Ule mjengo wa Kibo complex dooh si mchezo, shule ya wazo hill, wakala wa cement etc nahic jamaa biashara zake zinaingiza hata billion 1 kwa mwezi..hata kama kajenga kwa kuchukua mkopo benki, jamaa ana mafanikio sana.
Hlf nasikia alipataga div. 0 form six, maisha haya..
Huu nao ni upuuzi mpya, unataka ushahidi gani?Leteni ushahidi
Nyie si ndio mlkuwa mnasema jengo la tanesco ubungo la Lowasa?
Hata mlevi anawafuasi...nimekusomaUthubutu, kawatishie naww Kama unaweza
Huo ndio ukweli.Huu nao ni upuuzi mpya, unataka udhahidi gani?
Wa msksbidhiano su Mama Mkapa akisimamia au nini unataka.
Umeona wapi dalali wa mchanga awe bilionea overnight?
Msaki namfahamu personally na kuhusu jengo hilo mama Anna huja mara kwa mara, kuna wakati uongozi wa pale ulikuwa mbovu, Msaki alikua anajinufaisha yeye tu hadi Anna Mkapa chupuchupu smfukuze.
Kwani dalali hawezi akawa tajiri? Kwani lugumi alitajirika vipi?Huu nao ni upuuzi mpya, unataka udhahidi gani?
Wa msksbidhiano su Mama Mkapa akisimamia au nini unataka.
Umeona wapi dalali wa mchanga awe bilionea overnight?
Msaki namfahamu personally na kuhusu jengo hilo mama Anna huja mara kwa mara, kuna wakati uongozi wa pale ulikuwa mbovu, Msaki alikua anajinufaisha yeye tu hadi Anna Mkapa chupuchupu smfukuze.
Mkuu msaki anahela acha wivu ana semi trellar za kutosha gari za mchanga za kutosha hotel ya double view kijitonyama tutafute hela kwa bidii.Huo ndio ukweli.
Huwezi kudunduliza faida za kuuza cement halafu ujenge jengo kama lile hyo ni impossible future tense.
Anaweza lakini sio overnight, unaijua Kibo complex vizuri?Kwani dalali hawezi akawa tajiri? Kwani lugumi alitajirika vipi?
Japo sipingi unavosema ni mali ya mama mkapa
Msacki mu old Moshi huyoo big up kwake.
Naijua vizuri mkuu mi ni mkazi wa eneo hiloAnaweza lakini sio overnight, unaijua Kibo complex vizuri?
Acha ushabiki wa ajabu wanaomiliki malori ni wengi sana huwa hayashangazi wala sio big deal.Mkuu msaki anahela acha wivu ana semi trellar za kutosha gari za mchanga za kutosha hotel ya double view kijitonyama tutafute hela kwa bidii.
Inakusaidia nn Sasa? Acha shobo
yap trueeSasa Zero hapa Inahusiana na nn mzee...fanya kazi kwa Bidii...Kwenye Top 10 sijui mana sisi watz hatupendi Manufacturing ambayo ndio inatoa mzunguko mkubwa zaidi ...Watz wajifunze kujenga Viwanda
hahahahaahii ni aina nyingine ya wivu tuu
Mkuu kumbe hujatujua watanzania sisi, mimi naweza kuwa na elfu 50 tu kwenye akaunti, na sijui nitaiongezaje au kuipata wapi nyingine lakini nikamwambia mtu mwenye milioni 100 kwenye akaunti ambaye ana means zaidi ya kumi kuziongeza hizo hela kua hana faida kwa anachofanya au ni ngumu kwake kufanikiwa.Mkuu msaki anahela acha wivu ana semi trellar za kutosha gari za mchanga za kutosha hotel ya double view kijitonyama tutafute hela kwa bidii.