Kabisa Mkuu. Mimi ninawafahamu mno. Ni kati ya vijana waliopambana kihalali nchi hii. Wana uwezo wa kujenga malls kibao tu mbona? Tena kubwa kuliko Kibo Complex.Acha wenye roho za kimaskini wasema za mama mkapa,nawajua wote kuanzia mwenye double view hotel,yule mdogo mwenye malori ya mchanga na huyo wa kibo
rikodi zake za kulipa kodi tra haziridhishiAlikutapeli nini? Mbona sijawah hata sikia kesi yake hata ya kusingizia? Ninachojua ni smart kwenye kazi na ukiharibu kazi yake hata buti utapigwa. Sema lingine.
Katika waliokuwa na sakata la kukwepa kodi Msaki hayumo. Na kwa awamu ya chuki kanda ya kaskazibi ungekuta ameshasukwasukwa. Naona una visa naye. Nextrikodi zake za kulipa kodi tra haziridhishi
Leta uthibitisho na kesi za ujambazi alizoshtakiwa. Wivu tu. Uzuri mvua yako inanyesha nje Msaki amelala ndani haimnyeshei. Muda huu anapokea manoti kwenye biashara huku wewe ukizusha ya kijicho. They family fights man. Nextmsaki ni jambazi
Jengo liko wapi weka picha tulithaminisheUle mjengo wa Kibo Complex dooh si mchezo, shule ya Wazo Hill, wakala wa cement etc nahisi jamaa biashara zake zinaingiza hata bilioni 1 kwa mwezi hata kama kajenga kwa kuchukua mkopo benki, jamaa ana mafanikio sana.
Halafu nasikia alipataga Div. 0 Form Six, maisha haya.
Fursa sawa kwa wote, kule nyuma kuna mjengo umeenda hewani balaaKibo complex ya Mama Mkapa, Jamaa ni mshika mapembe tu
Mbowe anaongea kiingereza kitamu kumzidi mzee wa phd feki. Unabisha unabisha?Nashangaa wanaomsema MAKONDA, hata kama alifeli shule, ila maisha yamemnyookea, hta MBOWE kupata kwake zero form six lakini kwenye maisha katoboa
πππSiku zote ukiwa nnje lazima uone walio ndani wanafaidi... "laiti ungejua"
Maisha Ni mtihani mwingineKuna jamaa aliongozaga matokeo ya kidato cha 6
Utamkuta yuko kwao analisha ngombe tu, ukimchek
Hana mkakati ya maisha
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hii ni mali ya nani?Kama wa jengo la kibo unawaita mabilionaire je awa wa jengo la mawasiliano utawaitaje?View attachment 1553032
Hilo ni mali ya nssf,halafu mfano wako umetoka nje ya mada.Kama wa jengo la kibo unawaita mabilionaire je awa wa jengo la mawasiliano utawaitaje?View attachment 1553032
Kama wa jengo la kibo unawaita mabilionaire je awa wa jengo la mawasiliano utawaitaje?View attachment 1553032
Kama wa jengo la kibo unawaita mabilionaire je awa wa jengo la mawasiliano utawaitaje?View attachment 1553032
"Conscious"Siku zote ukiwa nnje lazima uone walio ndani wanafaidi... "laiti ungejua"