Nyoka kibisa
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 568
- 1,507
Hizi imani ziko complicated saana na kibaya zaidi kila mtu anaamini imani yake ndio bora kuliko ya mwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashahidi wa Yehova wanasema haukuwa msalaba bali mti uliosimamishwa tu kama nguzo!Huu Msalaba Ni Aina Ya Misalaba Ya Zamani saana Kabla HaijaBoreshwa Na Roman Catholic..
Huo Msalaba Ulitumiwa/Unatumiwa mpaka leo na Eastern Orthodox Church au russioan Orthodox..
Nini maana Ya Hizo Cross Zote..
Hiyo cross Beam Ya kwanza Ina Represent Kile Kibandiko cha Maandishi kwenye Ule msalaba Uliowekwa na Pilato kwa ajili ya Kumsulubisha Yesu Na Hiyo Beam ndo Ile Sehemu Iliyobandikwa KiBao Cha INRI [Iesus Nazarenus Rex Iudaeorum.] au kwa Waswahili tunasema "Huyu ni Yesu Mnazareth Mfalme wa Wayahudi"
Hiyo Cross Beam ya Pili kama Ukiiangalia Utajua Ni Beam ndefu kuliko Zote zo inawakilisha Sehemu ambayo Bwana Yesu walipomgongelea Mikono yake Kwenye Msalaba..
Hiyo Cross Beam ya Tatu Ukiangalia Vizuri Hiyo beam Ni kama iko Slanted/Sloped Yaani kiswahili Ni Kama Imeinama..Kwanza Inarepresent Kitu Kinaitwa suppedaneum, Yaani Pumziko La miguu..Hiyo ndiyo Sehemu Yesu alipopumzisha Miguu yake ..
swali Linakuja Kwanini Imepinda? Imeinama Na imepishana na Beam zingine mbili..?
kwa sababu Inarepresent Salvation During the Cross..
Upande wa Juu ulioinama Unawakilisha Yule Mwizi aliyekuwa Msalabani na Yesu Wa Upande w Kulia Kwake ambaye Alifutiwa Madhambi na Kuingia Peponi..
Upande wa Chini Ulioinama Unawakilisha Yule mwizi aliyekuwa Msalanami na Yezu Upande wa kushoto na Alimtukana yesu na Aliyekataa Ukombozi
View attachment 3154200
View attachment 3154225
🤣🤣🤣🤣 kwakweli.Kila mtu anakuja na uwendawazim wake
hata kwenye vitabu vyao wanachora picha ya gogo la mti limesimamishwa halina crossingMashahidi wa Yehova wanasema haukuwa msalaba bali mti uliosimamishwa tu kama nguzo!
Umemtaja uyo mnyama, tayari umeshaiamsha minyoo yangu. Dah ngoja nikatafute supu yake ya kongoro nipige. Mnyama matamu sana uyu mashalah mashalah.wakiristo ninguruwe
SahihiWajinga ndiyo waliwao.
Hizo ni ngazi za kufikia mafanikio yaliyojificha!Huu msalaba wa kanisa la African Independent Pentecostal Church of Africa(AIPCA) una maana gani?
Ukristo una diversity kubwa sana ya imani tofauti!
Msalaba sahihi aliosulubiwa nao Yesu Kristo ni upi?
View attachment 3154168
View attachment 3154169
"Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa Pekee. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. Hakuzaa wala hakuzaliwa. Wala hana anayefanana naye hata mmoja."Kwa kifupi misalaba mingi tunayoiona si msalaba aliyotesewa Yesu Kristo na kutundikwa pale Golgotha. Hiyo ni misalaba ya kimasoniki, ina maumbo ya ajabu, angalieni hata ile ya makaburini maumbo yake. Ni misalaba ya vyama vya siri (secret society)
hawajaenea sana nchini, niliona wako arusha na moshiUnajua Tanzania kuna Apostolic Church pia ambao huwapa wafu sakramenti??
Kwa hiyo wewe waliwa pia!!?Wajinga ndiyo waliwao.
malaria2 hii mada haikuhusu, we soma upite kimyakimya usikomenti kitu utaharibu mjadala"Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa Pekee. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. Hakuzaa wala hakuzaliwa. Wala hana anayefanana naye hata mmoja."
(Qur'an 112:1-4)
Yesu na wanyanganyi wawiliHuu msalaba wa kanisa la African Independent Pentecostal Church of Africa(AIPCA) una maana gani?
Ukristo una diversity kubwa sana ya imani tofauti!
Msalaba sahihi aliosulubiwa nao Yesu Kristo ni upi?
View attachment 3154168
View attachment 3154169