Msalaba wa hili kanisa la African Independent Pentecostal Church of Africa(AIPCA) unamaanisha nini?

Msalaba wa hili kanisa la African Independent Pentecostal Church of Africa(AIPCA) unamaanisha nini?

makanisa ya kihuni with self proclaimed Bishops! Makanisa ya 'wajanja" kuwaibia malofa weusi
Hili ni Kanisa Kubwa Kenya linaloheshimika,
Screenshot_20241117-080059_X.jpg
Screenshot_20241117-080156_X.jpg

20241117_080116.jpg
 
Kanisa la mashetani,majini,wanga,wachawi na vigagula sugu walioshindikana. Ikifika usiku wanaung'oa huo msalaba padri na waumini wake wanapanda wanaruka angani wanaweza kwenda marekani kwa trump au gaza kwa yahya sinwar bila viza.
 
Kanisa la mashetani,majini,wanga,wachawi na vigagula sugu walioshindikana. Ikifika usiku wanaung'oa huo msalaba padri na waumini wanapanda wanaruka angani wanaweza kwenda marekani kwa trump gaza yahya sinwar bila viza.
Sio kweli, ni kanisa kama mengine tu.
 
AFRICA INDEPENDENT PETECOSTAL CHURCH OF AFRICA-AIPA ndio nalisoma leo, sijui kama kuna kanisa hili afrika. Limesajiliwa nchi gani? Ndio kusema upentekoste umekua kiasi cha kuwa na makanisa mengi au ni abrakadabra tu? Tulishazoea akina FPCT, TAG, EAGT, KLPT, PEFA, PAG, hii AIPCA ni ngeni na msalaba wake unashangaza
Liko Kenya na lina wafuasi wengi mashuhuri tu.
 
Liko Kenya na lina wafuasi wengi mashuhuri tu.
Fine, lko lakini genesis yake ni ipi? Mhuni/mjanja mmoja akajitokeza kama akina Kibwetele ....Mwamposa.... Kakobe.... and the like wakaota! Kanisa ni lile aliloacha Yesu, basi wengine matapeli wa walofa
 
Kanisa la mashetani,majini,wanga,wachawi na vigagula sugu walioshindikana. Ikifika usiku wanaung'oa huo msalaba padri na waumini wanapanda wanaruka angani wanaweza kwenda marekani kwa trump gaza yahya sinwar bila viza.
Hilo kanisa halina mtumishi wa kuitwa padre tafadhali
 
Yale mamisalaba yanayouzwa na wauza majeneza na yanayosimikwa makaburini watu huyaweka bila kujua ni msalaba sahihi au si sahihi. Msalaba gani ule una maumbo ya ajabu?
 
kasome kitabu kinaitwa broken cross na the lost key ufahamu aina za misalaba na wanayoitumia ni akina nani
Sasa Kama Imeandikwa Hadi Kwenye Vitabu Basi Hakuna Hizo Mnazoita Sekreti Sosayati,,,Ni Kujitia Ujuaji Kwa Tusichokielewa
 
Huu msalaba wa kanisa la African Independent Pentecostal Church of Africa(AIPCA) una maana gani?
Ukristo una diversity kubwa sana ya imani tofauti!
Msalaba sahihi aliosulubiwa nao Yesu Kristo ni upi?
View attachment 3154168
View attachment 3154169
Huu Msalaba Ni Aina Ya Misalaba Ya Zamani saana Kabla HaijaBoreshwa Na Roman Catholic..

Huo Msalaba Ulitumiwa/Unatumiwa mpaka leo na Eastern Orthodox Church au russioan Orthodox..

Nini maana Ya Hizo Cross Zote..

Hiyo cross Beam Ya kwanza Ina Represent Kile Kibandiko cha Maandishi kwenye Ule msalaba Uliowekwa na Pilato kwa ajili ya Kumsulubisha Yesu Na Hiyo Beam ndo Ile Sehemu Iliyobandikwa KiBao Cha INRI [Iesus Nazarenus Rex Iudaeorum.] au kwa Waswahili tunasema "Huyu ni Yesu Mnazareth Mfalme wa Wayahudi"

Hiyo Cross Beam ya Pili
kama Ukiiangalia Utajua Ni Beam ndefu kuliko Zote zo inawakilisha Sehemu ambayo Bwana Yesu walipomgongelea Mikono yake Kwenye Msalaba..

Hiyo Cross Beam ya Tatu Ukiangalia Vizuri Hiyo beam Ni kama iko Slanted/Sloped Yaani kiswahili Ni Kama Imeinama..Kwanza Inarepresent Kitu Kinaitwa suppedaneum, Yaani Pumziko La miguu..Hiyo ndiyo Sehemu Yesu alipopumzisha Miguu yake ..

swali Linakuja Kwanini Imepinda? Imeinama Na imepishana na Beam zingine mbili..?

kwa sababu Inarepresent Salvation During the Cross..

Upande wa Juu ulioinama Unawakilisha Yule Mwizi aliyekuwa Msalabani na Yesu Wa Upande w Kulia Kwake ambaye Alifutiwa Madhambi na Kuingia Peponi..

Upande wa Chini Ulioinama Unawakilisha Yule mwizi aliyekuwa Msalanami na Yezu Upande wa kushoto na Alimtukana yesu na Aliyekataa Ukombozi

images (2).jpeg


images (3).jpeg
 
Sasa Kama Imeandikwa Hadi Kwenye Vitabu Basi Hakuna Hizo Mnazoita Sekreti Sosayati,,,Ni Kujitia Ujuaji Kwa Tusichokielewa
ukiambiwa hii dunia ina wanaoiongoza nyuma ya pazia uwe unadadavua mambo. Iruhusu akili yako kuwa huru zaidi kufaragua unachokiona kama kiko sahihi au hakipo sahihi. Tafuta taarifa ufahamu ukweli
 
Kwangu mimi sishangai saana kwa kanisa hilo kwa maana niliwahi kufika eldoret kenya nkakuta kanisa watu wanasali jumamosi wamevaa kanzu wote wanapiga ngoma na kucheza vibe la hatari nkaja tena kisumu nikakuta makanisa mawili yalionitatiza kidg moja linaitwa RELIGION MARIA wao huita (LEJO MARIA) Hawa wanasali jumapili hawana utofaut na roman ila wanasali kwa lugha mbili kilatini na kilugha
Na kuna dhehebu lingine linaitwa ROHO
sasa hapa ndio zimegawanyika kuna roho mtakatifu roho nyota n.k hawa bhana wanasali jumamosi na wapiga ngoma watu hucheza kama wamepandisha hivi asee unaweza ukadhan upo dunia ya tofaut lkn nd imani yao.
Hivyo kwakuwa ww n mlokole msabato au muislam ukadhan dheheb lako nd best tembea uone.
 
Back
Top Bottom