kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Baada kinana na makamba kutikiswa,nimeona kuwa mjeda ni uboya tu kama maboya wengine.
Duh.. Kwahiyo mwananchi na mpiga kura wa kule Nanjilinji alikuwa hana imani tena na ccm sababu ya ukimya wa Kinana?Umemsikiliza vizuri Kinana? Umemuelewa? Unajua ethics za uongozi wewe? Unajua umuhimu wa kipindi hiki kwa chama kuelekea uchaguzi mkuu?
Sasa elewa kuwa mzee Kinana ameombwa radhi ili kunusuru chama na kimaadili kaombwa aseme yale hadharani kurudisha imani ya wanachama.
Ndio maana hata lugha yake (tone) ilikuwa na dharau ndani yake. Mavuvuzela hamuwezi kuelewa hapo hata mpigwe nyundo kichwani
I was wrong on my opinion kumhusu Kinana, kuwa na wrong opinion, sio kosa la kuombea msamaha!.Mkuu kama ulikua wrong, una haki pia ya kutuomba msamaha, kwani huwa tunaziamini sana porojo zako.
Kazi ya stevd nyerere hiyo ya kuigiza sauti!!
kutofautiana na mkubwa hairuhusiwi
Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Abdulrahman Kinana amejitokeza na kumuomba radhi Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Dkt. John Magufuli kufuatia matukio yaliyojitokeza siku za nyuma ikiwemo mazungumzo ya simu baina yake na baadhi ya viongozi wakongwe wa CCM yakimlenga moja kwa moja Rais Magufuli.
Kauli hiyo ya Kinana ameitoa akiwa jijini Arusha, ambapo pia alipata nafasi ya kukutana na viongozi wa CCM mkoa wa Arusha akiwemo Mwenyekiti wa chama Mhe. Zelote Steven na Katibu wake Mussa Matoroka ambao wamemshukuru kwa hatua hiyo.
Kinana ambaye ni miongoni mwa wanasiasa wakongwe wa CCM, baada ya kustaafu alijiikuta katika malumbano na wanasiasa wenzake na pia viongozi wake ambazo hata hivyo hakuwahi kuzizungumzia.
====
My take: Waliokuwa wanadhani JPM ni moto wa mabua sasa wametambuwa kuwa walivyodhani haikua sahihi
Nakumbuka we jamaa niliwahi kukuletea clip juu ya kufufua reli ya Moshi toka Dar mwaka 2017 nadhani ukanambia hzo ndoto tu huyo Rais wenu hana uo ubavu! Nikakuambia muda utaongea ila nimeona mwaka jana December wachaga wakila nyama choma kwa mabehewa!
Ulaji baba uko karibuni hapaHuyo jiwe mshamfanya mungu wenu hapo Lumumba
Kama sio wewe atakuwa baba yako ndo yule msukuma aliefukuzwa kwa ajili ya kasuku pale ikulu.Pale Maiti inapoomba msamaha kwa msukule. kuna jipya gani?
Mkuu kwanza niseme, umefanya haraka sana kujiona ulikosea, ungesubiri kidogo, pazidi kupambazuka, naona kama hapa pia umefanya kosa kukubali ulikosea.I was wrong on my opinion kumhusu Kinana, kuwa na wrong opinion, sio kosa la kuombea msamaha!.
Mfano sasa tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu wa rais na wabunge, nikiandika opinion kuwa Tundu Lissu atamshinda Magufuli, ikitokea ni Magufuli ameshinda, nitasema I was wrong on my opinion on Lissu lakini sio kosa la kuombea msamaha!.
P
Usikubali kujificha kwenye kichaka cha unafiki! Kuto kuto kutoa huduma kwa siku kudhaa si kumetokana na uhalibifu wa miundombinu yake kuharibiwa na mvua? But haimaanisha kuwa tren ndo mwisho wakutoa huduma mzee, same na daraja kukatika tu litafanyiwa matengenezo na magar yataendelea kupitaAcha nicheke kwanza, nenda leo hii ukaone kama hiyo treni kama inaoperate. Kisha uje na maelezo kwanini haioperate.
Usikubali kujificha kwenye kichaka cha unafiki! Kuto kuto kutoa huduma kwa siku kudhaa si kumetokana na uhalibifu wa miundombinu yake kuharibiwa na mvua? But haimaanisha kuwa tren ndo mwisho wakutoa huduma mzee, same na daraja kukatika tu litafanyiwa matengenezo na magar yataendelea kupita
Mtu kama huyu alishika nafasi kubwa bila sifa. Lugha anayotumia kuomba radhi inaonesha hajui hata kupanga maneno. unawezaje kuomba radhi kwa kutumia neno 'labda?' Anaomba radhi kwa watu aliowaudhi halafu anasema labda niliwaudhi. Ni tabia ya kuomba radhi lakini uonekane ni shujaa. Hii ni hovyo! Nina hakika ameteta na marafiki zake na ndo wakashuri ajidai kuzungumza hayo. Na huenda walimteta tena Mkiti wao na kucheka na kuambizana ukisema hivi na vile atafurahia.
Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Abdulrahman Kinana amejitokeza na kumuomba radhi Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Dkt. John Magufuli kufuatia matukio yaliyojitokeza siku za nyuma ikiwemo mazungumzo ya simu baina yake na baadhi ya viongozi wakongwe wa CCM yakimlenga moja kwa moja Rais Magufuli.
Kauli hiyo ya Kinana ameitoa akiwa jijini Arusha, ambapo pia alipata nafasi ya kukutana na viongozi wa CCM mkoa wa Arusha akiwemo Mwenyekiti wa chama Mhe. Zelote Steven na Katibu wake Mussa Matoroka ambao wamemshukuru kwa hatua hiyo.
Kinana ambaye ni miongoni mwa wanasiasa wakongwe wa CCM, baada ya kustaafu alijiikuta katika malumbano na wanasiasa wenzake na pia viongozi wake ambazo hata hivyo hakuwahi kuzizungumzia.
====
My take: Waliokuwa wanadhani JPM ni moto wa mabua sasa wametambuwa kuwa walivyodhani haikua sahihi
Weka ushahidi hapa vinginevyo koma kabisa kupost ujinga