Msamaha: Mzee Kinana amuangukia Rais Magufuli kufuatia mazungumzo yake na makada wenzake wa CCM yaliyovuja

Alipewa NAFASI adhimu sana na kufaidi utumishi serikalini yeye na nduguze kiukweli alipaswa kuomba radhi kwani kujitia jeuri kungemgharimu sana yeye na watuwake wakaribu.
Umekula weeee Leo kusemwa kidogo unamkashifu prezoo? Ile ilikuwa ni kuvimbiwa bora angetulia kijijini kwake ale pensheni taratibu na kushauri kiutaratibu sio kiuwanaharakati.
Amefanya vyema kuomba radhi maana watu tunakosea muhimu kujirudi na kujirekebisha
 
Baada kinana na makamba kutikiswa,nimeona kuwa mjeda ni uboya tu kama maboya wengine.

Bado miaka mitano kwa roho mbaya zenu hamtapumua maana mioyo yenu imejaa giza,
Msigwa kamuomba msamaha kinana lakini hukusema hovyo,
Kinana kumuomba radhi magufuli iwe nongwa.
 
Duh.. Kwahiyo mwananchi na mpiga kura wa kule Nanjilinji alikuwa hana imani tena na ccm sababu ya ukimya wa Kinana?

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ndio sababu mnasema Mbowe asipokuwa mwenyekiti hapo chadema inakufa?
 
Mkuu kama ulikua wrong, una haki pia ya kutuomba msamaha, kwani huwa tunaziamini sana porojo zako.
I was wrong on my opinion kumhusu Kinana, kuwa na wrong opinion, sio kosa la kuombea msamaha!.
Mfano sasa tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu wa rais na wabunge, nikiandika opinion kuwa Tundu Lissu atamshinda Magufuli, ikitokea ni Magufuli ameshinda, nitasema I was wrong on my opinion on Lissu lakini sio kosa la kuombea msamaha!.
P
 
Hujaona video yake, au na video Steve kafanya plastic surgery?

Makamanda wanamaliza Tofauti zao wakanusuru Visiwa vya Znz kuzamishwa
Kazi ya stevd nyerere hiyo ya kuigiza sauti!!
 
kutofautiana na mkubwa hairuhusiwi
 
Mkuu hayo ni mawazo yako lakini yeye amesema anafikiri alikwenda mbali zaidi baada ya kukeleka. Hivyo hata msamaha ameomba kwa kufikiri tu lakini haamini kama anakosa.
 

Acha nicheke kwanza, nenda leo hii ukaone kama hiyo treni kama inaoperate. Kisha uje na maelezo kwanini haioperate.
 
Pale Maiti inapoomba msamaha kwa msukule. kuna jipya gani?
Kama sio wewe atakuwa baba yako ndo yule msukuma aliefukuzwa kwa ajili ya kasuku pale ikulu.
Una hasira na huu utawala, utakufa mapema shauri yako.
 
Mkuu kwanza niseme, umefanya haraka sana kujiona ulikosea, ungesubiri kidogo, pazidi kupambazuka, naona kama hapa pia umefanya kosa kukubali ulikosea.

Ndugu PM, wewe unamjua Kinana Vizuri sana kushinda wengi humu JF, bado hujatupa maoni yako ya ukweli na yaliyo moyoni mwako, na pia hatuyategemei hivi karibuni.

Mountains, towers and the strongest structures on earth, can be brought down by an earthquake if a ritcher scale of 6.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha nicheke kwanza, nenda leo hii ukaone kama hiyo treni kama inaoperate. Kisha uje na maelezo kwanini haioperate.
Usikubali kujificha kwenye kichaka cha unafiki! Kuto kuto kutoa huduma kwa siku kudhaa si kumetokana na uhalibifu wa miundombinu yake kuharibiwa na mvua? But haimaanisha kuwa tren ndo mwisho wakutoa huduma mzee, same na daraja kukatika tu litafanyiwa matengenezo na magar yataendelea kupita
 

Tatizo liko wazi kuwa ni mradi uliofanywa bila upembuzi yakinifu ili kusaka sifa za kisiasa, hivyo kujikuta hailipi. Ingekuwa inalipa hilo daraja lingetengezwa.
 
Kipenga tu nasubiri
Ila mjihadhari na muwe na social distancing
 
Mtu kama huyu alishika nafasi kubwa bila sifa. Lugha anayotumia kuomba radhi inaonesha hajui hata kupanga maneno. unawezaje kuomba radhi kwa kutumia neno 'labda?' Anaomba radhi kwa watu aliowaudhi halafu anasema labda niliwaudhi. Ni tabia ya kuomba radhi lakini uonekane ni shujaa. Hii ni hovyo! Nina hakika ameteta na marafiki zake na ndo wakashuri ajidai kuzungumza hayo. Na huenda walimteta tena Mkiti wao na kucheka na kuambizana ukisema hivi na vile atafurahia.
 
Duru za hakika kabisa zinatabanaisha ndugu Kinana huenda akagombea ubunge katika Jimbo la Arusha mjini kwa tiketi ya CCM.


Sababu kuu mbili zilizo mfanya agombee ubunge ni kwanza mzee yule anaheshimiwa mno na wana Arusha na sifa hiyo pekee uhakika wa yeye kutangazwa mshindi itakuwa mapema tu pengine hata saa mbili na nusu asubuhi haitafika!


Pili mara tu atapo kuwa mbunge ndugu Rais atamteua kuwa Waziri wa maliasili na utalii 😊.


Mungu ibariki Tanzania na Timu ya Yanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…