kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Alipewa NAFASI adhimu sana na kufaidi utumishi serikalini yeye na nduguze kiukweli alipaswa kuomba radhi kwani kujitia jeuri kungemgharimu sana yeye na watuwake wakaribu.
Umekula weeee Leo kusemwa kidogo unamkashifu prezoo? Ile ilikuwa ni kuvimbiwa bora angetulia kijijini kwake ale pensheni taratibu na kushauri kiutaratibu sio kiuwanaharakati.
Amefanya vyema kuomba radhi maana watu tunakosea muhimu kujirudi na kujirekebisha
Umekula weeee Leo kusemwa kidogo unamkashifu prezoo? Ile ilikuwa ni kuvimbiwa bora angetulia kijijini kwake ale pensheni taratibu na kushauri kiutaratibu sio kiuwanaharakati.
Amefanya vyema kuomba radhi maana watu tunakosea muhimu kujirudi na kujirekebisha