Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,077
- 8,828
"Mzee yule anaheshimika sana Arusha"
Kama anaheshimika akagombee tuone kama atapata Ubunge...
CCM huwa mara nyingi inachagiliwa na watu wasio na elimu na wasio jitambua kabisa...!
Na baadhi ya mazuzu yanayo onelea kila kitu ndiooooo....!
Wafanyakazi hawaongezwi mishahara, wastaafu pensheni imekopwa kwenye mifuko ya jamii hakuna kitu,
Wastaafu wanalia lia tu huku mitaani...!!
Lakini CCM ikiwa jukwaani kujinadi utasikia tumefanya hivi mara vile na wapumbavu wasio fikiria utasikia ndioooo.......... Na kina mama wasio kuwa na future na watoto wao utasikia wakisema, sema babaaaaaaa......,!
Kama anaheshimika akagombee tuone kama atapata Ubunge...
CCM huwa mara nyingi inachagiliwa na watu wasio na elimu na wasio jitambua kabisa...!
Na baadhi ya mazuzu yanayo onelea kila kitu ndiooooo....!
Wafanyakazi hawaongezwi mishahara, wastaafu pensheni imekopwa kwenye mifuko ya jamii hakuna kitu,
Wastaafu wanalia lia tu huku mitaani...!!
Lakini CCM ikiwa jukwaani kujinadi utasikia tumefanya hivi mara vile na wapumbavu wasio fikiria utasikia ndioooo.......... Na kina mama wasio kuwa na future na watoto wao utasikia wakisema, sema babaaaaaaa......,!