TANZIA Msanii Albert Mangwea afariki dunia

TANZIA Msanii Albert Mangwea afariki dunia

Aiseee There are currently 11084 users browsing this thread. (288 members and 10796 guests).......RIP alberto japo huwa bilionea wa arusha umefunika idadi ya users zaidi ya bilionea nyaga.....
 
Wadau wa muziki tukubali ukweli wasanii wanaangamizwa na poda tena wengi sana.
TID naamini utajifunza jamani kama mmeshindwa ombeni msaada matibabu yapo!
Tuwasaidie hawa vijana maana watoto wetu wanawaiga hawahawa kwa siri!
 
R.I.P brother. Nakumbuka sana wimbo wako wa dakika1...sijauchoka mpaka leo.
 
Albert Mangweha is no more according to PekuaTz
Ulazwe panapostahili Buddy. Nitakukumbuka kwa kutegea shule na safari nyingi sana za Sudani kipindi kile tukiwa Complex aka University of Dodoma. Na mitaa ya kule chamber squad.
Duniani wapitaji ni vema tujiandae!

Full from that site:
Albert4-904844669.jpg


TAARIFA ILIYOTUFIJIA HIVI PUNDE,INAELEZA KUWA MSANII WA MUZIKI WA BONGO FLEVA,ALBERT MANGWEA (PICHANI) AMEFARIKI DUNIA HUKO NCHINI AFRIKA YA KUSINI.


CHANZO CHA KIFO CHA MSANII HUYO BADO HAKIJAFAHAMIKA.

GLOBU YA JAMII INAENDELEA KUFUATILIA TUKIO HILO LA KIFO CHA MANGWEA NA TAARIFA KAMILI ITAKUJA BAADAE .

Jamani kweli chanzo cha kifo chake hakifahamiki hadi sasa??
 
km amefia ucngzn bac kifo chake kimekuwa cha raha,r.i.p bro!.
 
Jamani kweli chanzo cha kifo chake hakifahamiki hadi sasa??

taarifa za mtaani nyepesinyepesi zinasema alikuwa ni kontena ... alishabwia kete za kutosha ,.. zikampasukia tumboni kafia hoteli ..

R.I.P
 
Aiseee There are currently 11084 users browsing this thread. (288 members and 10796 guests).......RIP alberto japo huwa bilionea wa arusha umefunika idadi ya users zaidi ya bilionea nyaga.....

Duu si mchezo amefunika mabilionea wa arusha.
 
Inavyodaiwa ni kafia akiwa usingizini. Sasa kama alikufa akiwa usingizini ina maana autopsy keshafanyiwa na toxicology report ishatoka na inabainisha kwamba kafa kwa drug overdose?

Manake mtu kufa usingizini yaweza kuwa pia alipata shambulio la moyo....au tu kafa kwa natural causes. Hiyo ya drug overdose ni kweli ama ni usadiki tu wa watu?

Yote yanawezakana lakini dogo alikuwa mtu wa madude.
 
Eh sasa shemeji yetu mdhungu si atajinyonga,maake kwa Ngwair alikuwa ndo kafika,utakumbukwa pale Mkony Pub Maikocheni karibu na Clouds FM
 
"nikifa leo pengo langu halina spare mi ndo mi hatuwezi kuwa pair so nageuka mac-regan nawaambia endelea"-Ngwair
 
Back
Top Bottom