Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #201
Msalimie Kaka bui bui 😆🤒Nampenda kama mwanamuziki na si vinginevyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msalimie Kaka bui bui 😆🤒Nampenda kama mwanamuziki na si vinginevyo.
Zimefika 😸Msalimie Kaka bui bui 😆🤒
Hakuna mwanaume rijali chini ya jua anaandika "ko". Unatutia wasiwasi wakulungwa dogo.Ko sisi Hutu pendi ehh🤔😃
Umeongea ponti kubwa sana japo imepitwa kimia kimia. Masafa ya 92.---- ni mtihani. Radio nyingi za kizamani hasa kwenye daladala masafa yanaanzia 70-90. So mpaka hapo mimi kwenye gari hiyo Radio sitoipata. Daladala ambao ndio pia hukuza/promoti hizi redio hawatoweza kuipata. To some extent masafa yatawavuta shati hawa jamaaa.Naskia masafa kuanzia 90 huwaga ni chenga wanao jua tupeni elimu
Sio kweli hapa mitandaoni taarifa inaletwa kama ilivyo yaani ikiwa haijahaririwa bcoz taarifa mtandaoni anapeleka yute tu hata mjinga sasa hapo umepewa tip utasema ni taarifa?? Mfano mzuri ni huyu aliyeleta hii ya bwana Kibanio kuzindua redio taarifa haijakamilikaRadio na TV siku hz hazina nguvu kiivo maaana wanahariri hadi wanaharibu lkn mitandaoni taarifa inaletwa kama ilivyo
Ukiwa mjinga na mpuuzi, lazima uongee vitu ambavyo wazazi wako wana vipenda.Hakuna mwanaume rijali chini ya jua anaandika "ko". Unatutia wasiwasi wakulungwa dogo.
Hongera zake lakini akubali Mond yupo juu sana tu kwakeStaa wa muziki wa Bongo Fleva @officialalikiba amezindua radio yake mpya inayoitwa CROWN FM ambayo inapatikana 92.1 Fm.
Alikiba ameeleza sababu za kuzindua Radio kuwa ni njia pekee iliyoinua career yake na watu kumfahamu kupitia Radio.
Baada ya kuwa msanii kwa takribani miaka 20 sasa anakuwa miongoni mwa Wasanii na watu wanaomiliki Radio.
Hongereni sanaZimefika 😸
Aisee wabongo Akili zetu ni waki Sana, niku ulize aliye MKUTA mwenzie ana imba ni nani??.Hongera zake lakini akubali Mond yupo juu sana tu kwake
Asante sana kwa elimuUmeongea ponti kubwa sana japo imepitwa kimia kimia. Masafa ya 92.---- ni mtihani. Radio nyingi za kizamani hasa kwenye daladala masafa yanaanzia 70-90. So mpaka hapo mimi kwenye gari hiyo Radio sitoipata. Daladala ambao ndio pia hukuza/promoti hizi redio hawatoweza kuipata. To some extent masafa yatawavuta shati hawa jamaaa.
All in all HONGERA SANA KWA KIJANA MWENZETU KING KIBA
Jikaze mwanaume, utakuja bakwa. Andika vizuri dogo, Wanaume Malijali hawaandiki 'Ko" bwege wewe. Hizo ni pigo za kiupinde. Pumbavu.Ukiwa mjinga na mpuuzi, lazima uongee vitu ambavyo wazazi wako wana vipenda.
Beside USI tafute attention ili watu wakuone.
Duh jomba punguza hate, Afu mi sio dogo Kama vipi nepe mama ako nimlee.Jikaze mwanaume, utakuja bakwa. Andika vizuri dogo, Wanaume Malijali hawaandiki 'Ko" bwege wewe.
We dogo tu, hata miaka 24 hujafikisha ni sawa na binti yangu Gift tu. Kaza tako hilo, wanaume hawaandikagi "Ko". Pumbavu.Duh jomba punguza hate, Afu mi sio dogo Kama vipi nepe mama ako nimlee.
Miaka ishirini na ngapi??, Nisha kujua sister.We dogo tu, hata miaka 24 hujafikisha ni sawa na binti yangu Gift tu. Kaza tako hilo, wanaume hawaandikagi "Ko". Pumbavu.