Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Radio na Tv mkuuBro issue ya redio ime julikana kitambo tu,
Yap, nime ona kaandika hivyo piaRadio na Tv mkuu
We Chinga emu tulia kidogo basiVincenzo Jr Sasa hivi nanjilinji tume pata redio ya kusikiliza😆🤒
Angalia hapo juuSafi sana bado Television
Dah najaribu kuisoma nigundue nimezingua wapi🤔🤔🤔lk sielewiSasa comment Yako ya jamaa wa coco beach ilikuwa Ina maana Gani?
Utasikia wabongo wanavyochanganya madesa wengine watasema crown wakimaanisha clouds na wengine watasema clouds wakimaanisha crown na wengine wataandika clown huku wengine wakiandika crowdsStaa wa muziki wa Bongo Fleva @officialalikiba amezindua radio yake mpya inayoitwa CROWN FM ambayo inapatikana 92.1 Fm
Alisema "jina linalopewa kipaumbele" elewa hapo kwanza.Nifah alitudanganya ni Kings Fm, kiherehere cha kupost haraka haraka ili aonekane ni mbea mkubwa, haha
Wasagi fm Kwa dar ni 93.7Naskia masafa kuanzia 90 huwaga ni chenga wanao jua tupeni elimu
Kuna redio mkoani inaitwa Kings FmAngeiita KINGS FM Ingekaa kiushindani zaidi na WASAFI FM. Lakumi Crown FM ni jina geni masikioni. Atakua na KAZI kubwa ya kuipush kuliko angetembea na upepo wa Kings. Kumbuka Kiba Hana content nyingi. So anakazi kubwa ya kufanya. Kiba Hana historia ya kukuza kitu au kupusha jambo na kufika mbali