Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Lebo ya baiskeli au siyo 😂Crown haisound atumie jina la King media kingfm,king tv.
Crown imekuwa lebo ya baiskel hio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lebo ya baiskeli au siyo 😂Crown haisound atumie jina la King media kingfm,king tv.
Crown imekuwa lebo ya baiskel hio
Hongera sana kwake! Lkn Mimi naona hii tabia ya wasanii kuigana igana Kila kitu anachoqnzisha mwenzio ni ufinyu wa mawazo na tatizo hili lipo kwa Watanzania wengi sana.Staa wa muziki wa Bongo Fleva @officialalikiba amezindua radio yake mpya inayoitwa CROWN FM ambayo inapatikana 92.1 Fm.
Alikiba ameeleza sababu za kuzindua Radio kuwa ni njia pekee iliyoinua career yake na watu kumfahamu kupitia Radio.
Baada ya kuwa msanii kwa takribani miaka 20 sasa anakuwa miongoni mwa Wasanii na watu wanaomiliki Radio.
View attachment 2929868
Mi naona crown FM nzuri kibiashara, why menigi haku iita itv mengi channelLabda sababu Kings FM ipo Iringa. Ila ingekuwa ni mimi Kiba na jambo langu (achana na la Kusaga) ningeongea na hiyo mmiliki wa hiyo redio ya Iringa abadili jina.
Kings FM ingembeba sana Kiba. Hiyo Crown FM haikaikai sana kimatamshi, labda vile sijaizoea
Bado raia wangesema wamemuiga barkhesaLabda ali taka aanzishw mbege juice😄
Bora ht angeiita KIBAKULI FMLabda sababu Kings FM ipo Iringa. Ila ingekuwa ni mimi Kiba na jambo langu (achana na la Kusaga) ningeongea na hiyo mmiliki wa hiyo redio ya Iringa abadili jina.
Kings FM ingembeba sana Kiba. Hiyo Crown FM haikaikai sana kimatamshi, labda vile sijaizoea
Vyovyote ilivyo hata kama ana Share ya 10%.
Mbona sisi Tanzania nzima tuna Share 16%tu na tunajidai tuna Migodi ya Dhahabu.
Mr nanilii na wewe khaaSitaki, we mpende bro wetu Ina tosha😃
Bora angesema hata mbaga fmLebo ya baiskeli au siyo 😂
Bro kwani kuwa business partner sio sehemu ya umiliki??.
Rihanna mwenyewe ni ambassador wa Fenty beauty, ila pale ana share kiasi chake.
Kusaga kampa share
Oky muhimu maokoto.Kuanzisha radio c ndo mawazo yenyewe au una maana gn.?
Ili afanikiwe, ni lazima atengeneze watu wapya. Watu wanataka ladha mpya au ya tofautiHongera sana kiba, aweke mikakati madhubuti sasa. Nenda pale wasafi shawishi watangazaji mashuhuri, nenda pale kwa majizo chukua hapo pia.
Hapo nngemshitaki mana angekuwa ametumia brand yangu ya biashara ya duniani hukoBora angesema hata mbaga fm
Kivipi mkuu??Jina haliendani na brand yake.
We nawe Ume sajili Hilo jina😃🤣Hapo nngemshitaki mana angekuwa ametumia brand yangu ya biashara ya duniani huko
Yeye angeinunua hiyo Kings akafungua Headquarters hapa Dar kisha huyo wa Iringa ndo akafungua mpya kwa jina jingine.Labda sababu Kings FM ipo Iringa. Ila ingekuwa ni mimi Kiba na jambo langu (achana na la Kusaga) ningeongea na hiyo mmiliki wa hiyo redio ya Iringa abadili jina.
Kings FM ingembeba sana Kiba. Hiyo Crown FM haikaikai sana kimatamshi, labda vile sijaizoea
Ndio mkuu, inaitwa Mbaga and Elon Musk's investment company.We nawe Ume sajili Hilo jina😃🤣