Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah nilifikiria kuiita Vitz fm ila Ist fm naona kidogo siyo mbayaPamoja mkuu, nalo jina kali
Bro tuache utani, ist FM lime kaa kinyamwezi Sana.Yeah nilifikiria kuiita Vitz fm ila Ist fm naona kidogo siyo mbaya
Mwanangu chunga Sana🤣😄, utakuja kupasuka😃Mara nyingi ile comment hua nataka iwe front page ili dawa iingie vzr 😂
Sahihi. Saiv hata kinachopostiwa mtandaoni na radio page hatukiaminiKuwepo kwa mitandao kumewapunguzia sana kule kutegemewa sana na jamii....wakati mi nakua kitakachosemwa radioni ni kwel na hamna wa kujadili, ili saa yako ionekane ipo sahihi lazima iendane na muda utakaotajwa redioni
Kwamba wasanii now wameishiwa mawazo.Staa wa muziki wa Bongo Fleva @officialalikiba amezindua radio yake mpya inayoitwa CROWN FM ambayo inapatikana 92.1 Fm.
Alikiba ameeleza sababu za kuzindua Radio kuwa ni njia pekee iliyoinua career yake na watu kumfahamu kupitia Radio.
Baada ya kuwa msanii kwa takribani miaka 20 sasa anakuwa miongoni mwa Wasanii na watu wanaomiliki Radio.
View attachment 2929868
Tutapasuana, ww ngoja ukae kwenye reli tuuu mana Mm hua siangalii nani kaandika mada 😂Mwanangu chunga Sana🤣😄, utakuja kupasuka😃
Kaka sisi familia😃, uswahili tuwa fanyie Waki shuaTutapasuana, ww ngoja ukae kwenye reli tuuu mana Mm hua siangalii nani kaandika mada 😂
Kuanzisha radio c ndo mawazo yenyewe au una maana gn.?Kwamba wasanii now wameishiwa mawazo.
Tumpe soju nini 😃Nice
Hutoamini macho yako, tena comment itakuwa ya kwanza juu kabisa 😂Kaka sisi familia😃, uswahili tuwa fanyie Waki shua
Labda ali taka aanzishw mbege juice😄Kuanzisha radio c ndo mawazo yenyewe au una maana gn.?
Sitaki, we mpende bro wetu Ina tosha😃Tunahimizwa upendo jamani hata wewe nakupenda rafiki yangu. Sasa ubaya hapo upo wapi 😂
Labda sababu Kings FM ipo Iringa. Ila ingekuwa ni mimi Kiba na jambo langu (achana na la Kusaga) ningeongea na hiyo mmiliki wa hiyo redio ya Iringa abadili jina.Angeita Kings Fm ingesound sama na moja kwa moja ingeibeba Kings Music.