Msanii Ali Kiba azindua Redio yake, inaitwa Crown FM

Msanii Ali Kiba azindua Redio yake, inaitwa Crown FM

Nifah alitudanganya ni Kings Fm, kiherehere cha kupost haraka haraka ili aonekane ni mbea mkubwa, haha
 
Kuwepo kwa mitandao kumewapunguzia sana kule kutegemewa sana na jamii....wakati mi nakua kitakachosemwa radioni ni kwel na hamna wa kujadili, ili saa yako ionekane ipo sahihi lazima iendane na muda utakaotajwa redioni
Sahihi. Saiv hata kinachopostiwa mtandaoni na radio page hatukiamini
 
Staa wa muziki wa Bongo Fleva @officialalikiba amezindua radio yake mpya inayoitwa CROWN FM ambayo inapatikana 92.1 Fm.

Alikiba ameeleza sababu za kuzindua Radio kuwa ni njia pekee iliyoinua career yake na watu kumfahamu kupitia Radio.

Baada ya kuwa msanii kwa takribani miaka 20 sasa anakuwa miongoni mwa Wasanii na watu wanaomiliki Radio.
View attachment 2929868
Kwamba wasanii now wameishiwa mawazo.
 
Angeita Kings Fm ingesound sama na moja kwa moja ingeibeba Kings Music.
Labda sababu Kings FM ipo Iringa. Ila ingekuwa ni mimi Kiba na jambo langu (achana na la Kusaga) ningeongea na hiyo mmiliki wa hiyo redio ya Iringa abadili jina.

Kings FM ingembeba sana Kiba. Hiyo Crown FM haikaikai sana kimatamshi, labda vile sijaizoea
 
Back
Top Bottom