Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #81
InfideleUtu 🎤🥰
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
InfideleUtu 🎤🥰
Jibu fikirishi hili 😂🤣🤣Nimejibu swali au sijajibu?
Jomba kamtumia uhuni 🤣😄Jibu fikirishi hili 😂
Pamoja mkuu, nalo jina kaliMi nitazindua IST fm
Kuwepo kwa mitandao kumewapunguzia sana kule kutegemewa sana na jamii....wakati mi nakua kitakachosemwa radioni ni kwel na hamna wa kujadili, ili saa yako ionekane ipo sahihi lazima iendane na muda utakaotajwa redioniKwani radio na TV HAZIPO MTANDAONI? KIA RADIO SAIV IKO LIVE YOUTUBE NA FACEBOOK
Ndio nipo nakipa pongezi zake hapa. Lolsbila kukisahau chanzo cha kuaminika nacho kipewe credit
radio itarusha vipindi vyake tu, au yupo kibiashara zaidi?
😄Vijana wa siku hizi hawataki kusumbua ubongo kbsJibu fikirishi hili 😂
Keyboard emoji suggestion ndio imesema vyote ni 🤴. Ikabid nikubali.Crown SI taji mkuu??, king SI mfalme
Safi sana.Staa wa muziki wa Bongo Fleva @officialalikiba amezindua radio yake mpya inayoitwa CROWN FM ambayo inapatikana 92.1 Fm.
Alikiba ameeleza sababu za kuzindua Radio kuwa ni njia pekee iliyoinua career yake na watu kumfahamu kupitia Radio.
Baada ya kuwa msanii kwa takribani miaka 20 sasa anakuwa miongoni mwa Wasanii na watu wanaomiliki Radio.
View attachment 2929868
Mdogo wetu acha mbwembwe, we SI wa 2000 hapo🤣😄😄Vijana wa siku hizi hawataki kusumbua ubongo kbs
Ni ngumu Kiba kushindana na Chibu.Waanze kunyanganyana watangazaji
Angeita Kings Fm ingesound sama na moja kwa moja ingeibeba Kings Music.Crown jina baya. Linaenda kufanana na Clouds
Sijawahi dharau mihogo, kipindi nipo chuo nlikuwa nagonga mihogo vbya sana ukila saa nne au tano mzee hyo ni mpaka jioni, mpaka saiv naipiga sana kama saiv saa mbili au tatu jua lishawaka kupiga chai chapati au supu ni kipengele ko nachukua mihogo na juice au sodaMihogo mnaichukulia poa sio? Mtu kama ww unaweza Kuta unaona ufahari kula chips zege.
Vyovyote ilivyo hata kama ana Share ya 10%.Hongera zake...
Ila awe wazi tu, nani business partner wake...
Mbn tushahama suala la umri tupo kwenye kuchangamsha ubongoMdogo wetu acha mbwembwe, we SI wa 2000 hapo🤣😄
😸😸 Hapana ahsante, sina hata cha kumuambia zaidi ya kusikiliza mziki wake mzuri.Nikupe namba?