Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Nlikuwa msikilizaji mzuri wa redio na Sasa ni mtumiaji wa mitandao naona tofauti kubwa.... kipindi Malebo ni jambazi mi nlikuwa naskiliza KBCUngejua mitandaoni Kuna uozo Sana, ndo maana Millard ali teka soko kubwa. Kwa sababu ya taarifa rasmi