Msanii Ali Kiba azindua Redio yake, inaitwa Crown FM

Msanii Ali Kiba azindua Redio yake, inaitwa Crown FM

Staa wa muziki wa Bongo Fleva @officialalikiba amezindua radio yake mpya inayoitwa CROWN FM ambayo inapatikana 92.1 Fm.

Alikiba ameeleza sababu za kuzindua Radio kuwa ni njia pekee iliyoinua career yake na watu kumfahamu kupitia Radio.

Baada ya kuwa msanii kwa takribani miaka 20 sasa anakuwa miongoni mwa Wasanii na watu wanaomiliki Radio.
View attachment 2929868
Salute kwa Nifah kwa kuleta hii in pre-infocast.

Chukua maua yako
 
Back
Top Bottom