Msanii Ali Kiba azindua Redio yake, inaitwa Crown FM

Msanii Ali Kiba azindua Redio yake, inaitwa Crown FM

Sijawahi dharau mihogo, kipindi nipo chuo nlikuwa nagonga mihogo vbya sana ukila saa nne au tano mzee hyo ni mpaka jioni, mpaka saiv naipiga sana kama saiv saa mbili au tatu jua lishawaka kupiga chai chapati au supu ni kipengele ko nachukua mihogo na juice au soda
Sasa comment Yako ya jamaa wa coco beach ilikuwa Ina maana Gani?
 
😂😂
 

Attachments

  • C7869499-1993-423A-A3D3-3973CBDA8AE8.jpeg
    C7869499-1993-423A-A3D3-3973CBDA8AE8.jpeg
    363.1 KB · Views: 7
Angeiita KINGS FM Ingekaa kiushindani zaidi na WASAFI FM. Lakumi Crown FM ni jina geni masikioni. Atakua na KAZI kubwa ya kuipush kuliko angetembea na upepo wa Kings. Kumbuka Kiba Hana content nyingi. So anakazi kubwa ya kufanya. Kiba Hana historia ya kukuza kitu au kupusha jambo na kufika mbali
 
Back
Top Bottom