Tetesi: Msanii Alikiba ampa talaka tatu mkewe chanzo kikiwa ni ndugu na kurogana

Kuishi nyumba moja na mama mzazi na mkeo uchague moja tu.
 
Kwanini hela hizo harusi uzipigie hesabu za kuwapa ndugu?
 
Huenda ni zaidi ya inavyosemwa!
Ali Kiba atakuwa alivumilia Mengi toka kwa yule mwanamke!

Hadi kuamua kumwacha kwa talaka 3 hiyo tu inaonekana Ali amekasirika sana!

Yani hapo hakuna rejea[emoji108][emoji108]
Alichokasirika yeye mama kamshika mkewe uchawi,na mkewe atakuwa mchawi kweli(kwa akili za Kiba)mjuwe tu hawa vijana mama yao ndo kila kitu akisema huku msipite hawapiti hawa!
 
Acha uchoyo wewe mbona sisi tunaishi nao wengi tu.
 
Ni ushamba kupitiliza kurundika ndg nyumbani, kamwe huwezi kufurahia ndoa.
Kuna shida gani mwanaume kuwapatia wazazi makazi mengine?
Kwangu ni kwangu na mpenzi wangu.
Baba, mama, ndg wakija walijue kuwa wanaingia kwa himaya yangu tena kwa heshima.
Wansume tuwalinde wapenzi wetu dhidi ya ndg wakorofi au tufanyike kiungo.
Katiko hilo niko vyema kabisa.
This is sad,pole Amina..uwe haupendani na ndugu za mumeo na mumeo anawa support ndugu zake..hio atmosphere ni ngumu...bora ukapumue mwaya!!
 
Ila ya choyo mbaya sana!

Halafu tena ulozi kuingia humo?!
Mkuu zaweza kuwa ni fitina tu hizo.

Ushauri wa mwanamke ulikuwa sahihi. Hata kama wana uwezo, haikatazwi kusaidia ndugu, lakini si kwa kuishi pa1 maisha yote hata umri wa kujitegemea ushafika.

Kiba angeondoka na mwali wake kwenda kuanzisha maisha ama makazi mapya.

Huo mjengo angewaachia familia waliozowea kuishi pale, si ana pesa?

Mkamwana kuishi maisha yote na mkwewe ni jambo gumu sana, ndiyo maana yakaonekana hayo mauchoyo na mauchawi, lakini hivyo ni visa tu.

Sasa wamemvunjia mji ndugu yao, ambapo sifa hiyo ni mbovu sana hasa kwa watu wenye majina, maana inaonekana ni watu wasiofaa kwa ndoa na mifano ipo mingi.

Kama familia hiyo aliyoibeba Kiba ina mtindo huo wa maisha ya kizamani ya kurundikana, atamaliza wanawake kwa kuoa na kuacha.
 
Haya mambo hayaepukiki katika familia ambazo zilikuwa zinaishi watu 8 vyumba viwili na sebule ambayo ipo chumba cha nje kinajitegemea, wote kiba na diamond, maisha yao ndio hayo ndugu watajaa na wakuja hana nafasi wala neno kwenye familia na sababu kubwa ni kwamba tumepita wote pamoja

Mabaharia wenzangu, ukitaka kuoa anzisha mji wako, tofauti kabisa na unapoishi sasa kama una uwezo jengea wazazi wako (kama walikuwa wamepanga) kisha jenga kwako au panga uoe, nina imani baba yako angekuwa na akili kama za kiba usingejikuta kwenye familia ambayo ni baba mama na watoto, na wazazi pia mmeshaishi maisha yenu, waache watoto nao waishi yao
 
Kiba nae mjinga tu yani
Miaka yote had Leo ameoa
Na anaenda kuish Na ndugu wote
Kwema nyumba moja

Kwan alishindwa nn kuanzisha
Makaz yake

Wasanii wa bongo cjui wanakwama wapi
 
Mqanaume unaoa halafu unaishi na ndugu nyumba hiyohiyo hapo lazima maj yatazidi unga,raha ya ndoa uishi na mkeo na watoto wako. Vijana msiolee nyege au sifa hakikisha upo tayari kuishi na huyo mwanamle maana ndani ya nyumba ya wanandoa kuna mambo mengi sana ambayo ndugu hawatakiwi wayajue
 
Ndio maana wakwe wa kiafrica siku zote mtoto akiwa na vijisenti vya kubadilishia mboga wanakuwa nuksi hata ingekuwa mimi ndio amina ningewatoa baru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…