πππ brother kuna ile vibe, familia nzima, marafiki, classmates na workmates wote kwenye room moja. Mnakunywa, mnacheza na kufurahiHiv kabisa mbwembwe za sherehe zinawatamanishaga kuoa kabisa???
Ahahaah.
Kuna kitu mnapendaga basi? Nyinyi huwa hampendi kila kitu. Tulishawazoea na tunaishi hivyo hivyo.Hatukupenda walivyooa nje
Muoe kwenuMhhhh, nanyi acheni nongwa zenu bwana. Ndoa siyo rahisi kama mnavyofikiria, hata kama utaolewa na mtanzania mwenzako bila hata mbwembwe. Tukiwa mitandaoni na vijiweni ni rahisi mno kuponda, lakini mkishaingia ndani, Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Bagosha!, Ndiyo mtaelewa vizuri.
Ila yote tisa, walau hata alifanya kasherehe kazuri na ana historia ya kuoa. Pia bado AY ni kijana mwenye pesa nzuri tu, anaweza kuoa tena. Mwacheni mtoto wa watu....
Muoe kwenuMahusiano magumu tu siku hizi hakuna cha kuoa mzungu, mtutsi au hawa wa kienyeji. Watu wanachokana mapema kwa sababu kila mtu ana exposure ya kuona na kuonja vitu/watu wengine. Exposure ambayo kabla ya kuendelea kwa technology haikuwepo.
Siku hizi watu wanasema mambo wasomaanisha, ahadi hazina tena uzito wa kutimizwa. Mambo ya ndoa kwa ulimwengu huu yashapitwa na wakati, watu wafunge ndoa za mikataba wakichokana wabaki kuwa wazazi wenza tu endapo wana watoto.
Bora ombaomba anejua kuwa mke, sio wewe mwanaume kugeuzwa housemaidVijana hawataki kuoa omba omba
π π πππ€£ kamati ya roho mbaya eeKuna kitu mnapendaga basi? Nyinyi huwa hampendi kila kitu. Tulishawazoea na tunaishi hivyo hivyo.
Vijiba vya roho
[emoji3][emoji3][emoji3]
Mbona hawatuelewii ππππ tunaandika kichina au?Muoe kwenu
Nisaidie kuwashangaa,,,πππMbona hawatuelewii ππππ tunaandika kichina au?
π π π tumefurahishwa sanaNisaidie kuwashangaa,,,πππ
Matukio yaendelee tuπ π π tumefurahishwa sana
EheeeMatukio yaendelee tu
Bwana weeeh, huku kwetu hakuna totoz kali kama ile ya bwana AY, hivyo tusipangiane maisha. Kila mbuzi ale urefu wa kamba yake. My wallet, my choice....Muoe kwenu
Utakuwa shimoni, sio tzBwana weeeh, huku kwetu hakuna totoz kali kama ile ya bwana AY, hivyo tusipangiane maisha. Kila mbuzi ale urefu wa kamba yake. My wallet, my choice....
Kwenda huko weweeee! Vijiba roho tu. Mbona VANESSA alivyochumbiwa Marekani na kumucha JUKUSI hamkulalamika ila mnataka kuleta nongwa kwa AY kuoa hapo Rwanda ???Aoe nyumbani [emoji6]
Nimeishi Rwanda, nimeishi Tanzania.Kiufupi hapa EA nzima hakuna kama Tutsi women. Walau Nyaturu, Meru na Iraki ndiyo wako moto...Utakuwa shimoni, sio tz
Aaaaa sisi wanawake kwa vile ni wengi ni ruksa kuolewa nje ila wanaume wachache muoe hapa hapa nyumbani allaaaaaaaaaKwenda huko weweeee! Vijiba roho tu. Mbona VANESSA alivyochumbiwa Marekani na kumucha JUKUSI hamkulalamika ila mnataka kuleta nongwa kwa AY kuoa hapo Rwanda ???
Mmmmhπ€¨Nimeishi Rwanda, nimeishi Tanzania.....
Kiufupi hapa EA nzima hakuna kama Tutsi..
Tz walau Nyaturu, Meru na Iraki....
Wapo wengi wazuri tuUtakuwa shimoni, sio tz
Tunazungumzia mke sio mwanamke was maonyeshoNimeishi Rwanda, nimeishi Tanzania.Kiufupi hapa EA nzima hakuna kama Tutsi women. Walau Nyaturu, Meru na Iraki ndiyo wako moto...
Hivyo msiwapangie watu maisha. Waache vijana waoe wanawake wanaovutiwa nao....