MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Hahahah, wanawake wa kitutsi wazuri bwanaa. Hebu mwangalie K-LYN. Hivi unadhani kwanini Mzee wetu Mengi aliwaacha wakina Madam Rita akamuoa Jackie ???Advocate umeoaa mnyarwnda nn mkuu Mbna umeibuka kwa utetezi dhid yao [emoji23][emoji23]
Watu wameanza kumponda AY kwamba kwanini kaoa Rwanda, ilhali wamesahau kwamba mama yake AY naye ni Tutsi. Wana nongwa kweliiii.....