Msanii AY afunga ndoa na mpenzi wake huko Rwanda

Msanii AY afunga ndoa na mpenzi wake huko Rwanda

Advocate umeoaa mnyarwnda nn mkuu Mbna umeibuka kwa utetezi dhid yao [emoji23][emoji23]
Hahahah, wanawake wa kitutsi wazuri bwanaa. Hebu mwangalie K-LYN. Hivi unadhani kwanini Mzee wetu Mengi aliwaacha wakina Madam Rita akamuoa Jackie ???

Watu wameanza kumponda AY kwamba kwanini kaoa Rwanda, ilhali wamesahau kwamba mama yake AY naye ni Tutsi. Wana nongwa kweliiii.....
 
Aisee, umechafukwa nyongo kweli. Ila ndiyo ukweli wenyewe huo. Waache vijana waoe wanapopenda, kama kuachana ndiyo tatizo, mbona hapa Tanzania ndoa zinavunjika kila siku tu...
Sikiliza Malcom tushasema hivi muoe nyumbani mnakimbilia pua ndefu dada zenu wenye pua pana nani ataoa
Na hao wenye pua ndefu hawawapendii
 
Wasichana wa kawaida sana hao wazur wapo kila kona watutsi wako overrated sana maana hawajiheshimu ni watu wa maonyesho nenda Ethiopia kaone wanavyojitanda utajua wapi wazuri...hao uliotaja ni wale wa Kick za kimtandao na Wana mtandao mrefu kweny sex tourism kwanza kujiheshimu tu balaa Kun page inaitwa Kigali news utaona wanajiuza
Mazeee, Ethiopia nimefika, wanawake wa kihabeshi ni wazuri sana lakini hawana maumbo kama ya Watutsi. Wengi ni Slender na siyo warefu. Labda wale wa Tigray ndiyo wana maumbo makubwa....
 
Mazeee, Ethiopia nimefika, wanawake wa kihabeshi ni wazuri sana lakini hawana maumbo kama ya Watutsi. Wengi ni Slender na siyo warefu. Labda wale wa Tigray ndiyo wana maumbo makubwa....
Sawa wanyarwanda Wana maumbo kwa kweli Haina ubishi ..ila wameru na wachaga na wamasai ni sawa nimesoma na wameru ni warefu ila wako flat na makomwe wanapendeza wakinyoo sasa shuka kweny kiuno kama funza hawana maumbo mazuri.

Ukija kwa maumbo kwa level za kibongo na kiafrica Ina matter ila sio kidunia kwa sana hayo makalio yapo overrated kwwnu michezo iyo ya sex tourism ila sio katika kurank warembo wakali ...hao wengi hawaolewi ni show off tu
 
Ukija kwa maumbo kwa level za kibongo na kiafrica Ina matter ila sio kidunia kwa sana hayo makalio yapo overrated kwwnu michezo iyo ya sex tourism ila sio katika kurank warembo wakali ...hao wengi hawaolewi ni show off tu
Hahahaha braza, sehemu yoyote ile duniani ambako kuna SEX-TOURISM lazima kuwe na wanawake wazuri mfano Brazil, Dominican Republic, Vietnam n.k. Tuweke siasa za kitaifa pembeni, wanawake wa kitutsi wengi wao wanavutia. Lakini hoja yangu ya msingi hapa, ni kwamba tusipangiane maisha na tusifurahie ndoa ya AY kuvunjika maana hata hapa Tanzania ndoa nyingi tu zinavunjika.

Tatizo siyo mwanamke wa kitutsi, tatizo ni anguko la maadili baina ya wanandoa vijana......
 
Hahahaha braza, sehemu yoyote ile duniani ambako kuna SEX-TOURISM lazima kuwe na wanawake wazuri mfano Brazil, Dominican Republic, Vietnam n.k. Tuweke siasa za kitaifa pembeni, wanawake wa kitutsi wengi wao wanavutia. Lakini hoja yangu ya msingi hapa, ni kwamba tusipangiane maisha na tusifurahie ndoa ya AY kuvunjika maana hata hapa Tanzania ndoa nyingi tu zinavunjika.

Tatizo siyo mwanamke wa kitutsi, tatizo ni anguko la maadili baina ya wanandoa vijana......
Sioni ishu ya kufurahia ndoa kuvunjila haswa mtu kama AY ...unajua sisi tunapenda wenzetu wapate matatizo sana kitu ambacho hakina faida kabisa...

Kiukweli wanawake wa hao sijawai kuvutiwa nao mi labda weny asili ya ushombeshombe wa kiarabau haswa mademu wa upate wagunya ,wasomali
 
Bwahahaha, mke ni mke tu, maadam umemuoa. Hivyo msiwapangie watu maisha, na amuoe nani. Mimi nashauri vijana waendelee kufurahia maisha na kuoa wake watakaowapenda hata nje ya nchi.....
Waliooa hao watu na kupigwa matukio ndo wameelewa somo
 
Sioni ishu ya kufurahia ndoa kuvunjila haswa mtu kama AY ...unajua sisi tunapenda wenzetu wapate matatizo sana kitu ambacho hakina faida kabisa...

Kiukweli wanawake wa hao sijawai kuvutiwa nao mi labda weny asili ya ushombeshombe wa kiarabau haswa mademu wa upate wagunya ,wasomali
Wakikwambia uoe Somalia utakataa ???
 
Kuniita mimi Mbulula hakubidilishi ukweli mchungu. Kwamba, moja ya kigezo ambacho wanaume huangalia kwa mwanamke ni uzuri na mvuto, siyo tabia peke yake. Sasa mkitaka kuwapangia watu maisha ambao hata hamuwafahamu haitasaidia. Kila mbuzi na kamba yake.....
Hehehehe waliozingatia muonekano badala ya tabia mfano ni AY mwenyewe Kiko wapi Sasa😂😂
 
Back
Top Bottom