Jiwedogo
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 2,811
- 4,097
Kiswahili kinakuwa kwa kasi sana aiseeeee.....[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Hongera zake kwa kumuoa mke wake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiswahili kinakuwa kwa kasi sana aiseeeee.....[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Hongera zake kwa kumuoa mke wake!
Wanyarwanda wanahulka ya kumiliki[emoji41]Mnyambala ameniabisha,kwanini asingempeleka mtoto Tukuyu/Kyela kufunga nae ndoa ya kimila?yaani kaenda kufanyia sherehe ukweni..aahaa malafyale
Ukiweza edit post yako.. Imejaa typing errorsAman iwe nanyi wakuu katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Msaniu wa kizaz kipya ambwene yesaya siku ya leo amafunga ndo na mkr wake mnyarwanda na ndo hiyo imefungwa kimila huko nchin rwanda
Mke wa msannii huyo ana master ya enginiaring
Watu hao wamedumu kwenye uchumba kwa muda wa miaka kumi sasa
Mimi nimeelewa neno moja tu hapa "NYWANOKO"Wanawake wa bongo endeleen kufuga makucha kama jini, endelea kukuza makalio na kusuka mawigi waume zenu bado hawajazaliwa na mtakuja kuolewa na wajukuu zenu
Nywanoko benywe
LONDON BOY
na mengi zaidi ya hilo yatakuja usije sikia kahamia huko kabisa.Mnyambala ameniabisha,kwanini asingempeleka mtoto Tukuyu/Kyela kufunga nae ndoa ya kimila?yaani kaenda kufanyia sherehe ukweni..aahaa malafyale
MmmmmhWanawake wa bongo endeleen kufuga makucha kama jini, endelea kukuza makalio na kusuka mawigi waume zenu bado hawajazaliwa na mtakuja kuolewa na wajukuu zenu
Nywanoko benywe
LONDON BOY
Mbona umerudi ? Au umerudishwa ada ? Si ulituaga unaenda shuleWanawake wa bongo endeleen kufuga makucha kama jini, endelea kukuza makalio na kusuka mawigi waume zenu bado hawajazaliwa na mtakuja kuolewa na wajukuu zenu
Nywanoko benywe
LONDON BOY
Mnyambala ameniabisha,kwanini asingempeleka mtoto Tukuyu/Kyela kufunga nae ndoa ya kimila?yaani kaenda kufanyia sherehe ukweni..aahaa malafyale
Wanyarwanda wanahulka ya kumiliki hasa upande wa mwanamke...mfumo jike upo sana kuleHv N vigezo gan vnatumika
kwemda kufungia ndoa Kwa mwanamke maana hata mm
Nna mnyarwanda wang Mae
Ananambia hvo kuwa ndo tukafungie
Rwanda ktu amabacho n ndoto kwang