Msanii Belle 9 amewakosea nini Watanzania? Kwanini anapuuzwa? Ni wapi anakosea?


Hapo kwenye jiweka karibu na mashabiki nashindwa jinsi ya kumhukumu maana huwa simuelewi kabisa...mi nafikiri kuna mbinu anatakiwa atumie zaidi ya hii!
 
Mwambie aje nimpekeke mtwara wilaya y newala kunawataalam wazur wa kumbust kama wanavyobustiwa fulan n fulan
 
Hapo kwenye redio utanisamehe tu.Mimi sio msikilizaji mzuri labda itokee tu bahati mbaya.

pengine wanao mpenda wengi hawasikilizi radio na hawana muda wa kuzichagua nyimbo zake.
 

Kama unafanya kazi nzuri itajulikana tu, dhahabu ata uiweke kwenye moto bado itang 'ara tu. Hakuna kitu kibaya na nisichokipenda kama kujifananisha, mbona mtu akifa hamlalamiki mbona flani kafa mimi nipo hai?

Pengine ajichunguze kama ana mawasiliano mazuri na wasanii wenzie na watangazaji wa radio? Mengine amwachie mungu, akazane kuimba tu, maana kuna watu wanatamani kufika hyo level yake anayoiona haimfai ila hawajabahatika kumfikia
 

Pengine hapo kwenye manegement hawafanyi kazi na hawajui vizuri biashara ya muziki wa bongo na bila shaka ana hitaji kujisalimisha kwa wanao ijua biashara hii ya muziki!
 
Mwambie aje nimpekeke mtwara wilaya y newala kunawataalam wazur wa kumbust kama wanavyobustiwa fulan n fulan
mmh
Teh Teh anaweza akaambiwa alete kiungo cha albino ...
 

Pengine hapo kwenye mawasiliano mazuri na media na watangazaji sina hakika ..
 
labda ajaribu kufanya collabo na baba kijacho
 
Atafute ka skendo, hii tuu ndio dawa ya watz, mfano saa hivi Gwaijima atoe single itahit kinyama hata iwe mbovu kiasi gani.
 
Ukichambua hii weakness uliyoiweka hapa bado tatizo kwa kiasi kikubwa litakuwa linarudi kule kule kwenye management coz' ingawaje ni kweli kwamba msanii mwenyewe ana nafasi kubwa ya kujiweka karibu na mashabiki lakini management pia inatakiwa kuwa facilitator. Kwa mfano, ni social networks ndizo zinatumika kama daraja kati ya msanii na mashabiki... hapa, kibongo bongo, msanii mwenyewe ana nafasi kubwa katika kulitekeleza hilo kwa ufanisi! Kwa upande mwingine, linapokuja suala la interactions kati ya msanii na medias, hapa management ilitakiwa kuhakikisha hilo linafanikiwa!
 

Naona kuna tatizo kubwa kwa management ya Bell 9
 
Au amnyan'ganye kabisa Zari, hahahaa hapo hata Masogange itaanza kupigwa kwa upya kabisa na kwenye top ten itakuwepo, chezea skendo ww.

Teh Teh na yeye ataundiwa timu kabisa..
 

nimekupa like
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…