BigBro
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 3,585
- 11,601
Tatizo kubwa la game ya muziki wa Tanzania, kuna watu fulani usipowapigia magoti na 'kuwalamba' kutoboa ni ngumu sana. Kwa sababu kuna kundi fulani ndio liliwashika hadi wadhamini wakubwa, huwezi kwenda tu let's say Tigo, Voda, TBL, SBL na makampuni mengine makubwa ya udhamini bila 'mgongo' wao. Na nikiiangalia life style ya Belle 9 hana management ya namna hiyo ndo maana jamaa wanabana kinoma. Naamini kabisa wanajua kwamba dogo yuko vizuri na akipewa nafasi anaweza kuwafunika wengi tu.
Mwisho kabisa, katika kufikia full success kwenye maisha BAHATI ina play pati kubwa mno!
Mwisho kabisa, katika kufikia full success kwenye maisha BAHATI ina play pati kubwa mno!