Msanii Chid Benz akamatwa tena na dawa za kulevya

Msanii Chid Benz akamatwa tena na dawa za kulevya

''Jela,kifo au taasisi ndiyo mwisho wa uteja''
R.I.P Langa Kileo
 
''Jela,kifo au taasisi ndiyo mwisho wa uteja''
R.I.P Langa Kileo

Kwanza ni kweli CHIDI yuko MSIMBAZI nimemkuta mimi saa 9 mchana nikiwa na shughuli zangu binafsi ila sikujua alikuwa na kosa gani.

Na hongera kwa polisi wetu nilikuwa pale mpaka wakati wanapewa chakula kiukweli polisi wa pale wameonesha kuwajali kwa mimi nilivyoona,

Hayo uliyosema ndugu sio kweli,
Kuna baadhi ya mateja wameacha kabisa na maisha yao yamekuwa bora kabisa bila hata kupitia TAASISI.

Huu ni mtihani mkubwa sana pamoja na jitihada zote tunazotakiwa kufanya kupambana tatizo hili pia tujitahidi kuwa tunafanya na MAOMBI kwa MWENYEZI.
 
Sheria zikoje?

Au labda Mimi ushamba bado unanisumbua!

Nijuavyo Mimi ni kwamba, huwezi kukaa Kituo cha Polisi zaidi ya masaa Ishirini na Manne (24).

Ni kwamba mpaka Masaa Ishirini na Manne (24) yakishapita bila wewe kufunguliwa Mashitaka, basi hapo hamna Kesi tena.

Kinachotakiwa ni kwamba ndani ya Masaa Ishirini na Manne (24) uwe umeshapandishwa Mahakamani, na kama kuna Upelelezi wowote unatakiwa uwekwe Mahabusu huku ukiwa tayari umeshapanda Mahakamani.

Sasa hii ya kuwekana Kituoni Siku tatu na Mtu bado hajapandishwa Mahakamani imekaaje?
 
pic+chidbenzi.gif


Jeshi la polisi Mkoa wa Ilala, limewakamata watu saba akiwemo msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro maarufu kama ‘Chid Benz’ kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya Heroine.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Salum Hamduni amesema watuhumiwa hao walikamatwa Agosti 12 mwaka huu saa 11.50 jioni wakijihusisha na uuzaji wa dawa za kulevya.

Amesema jeshi la polisi limefanya msako wake na kuwakamata watuhumiwa hao wakiwa katika eneo ambalo linajihusisha na uuzaji wa dawa hizo.

“Chid Benz na wenzake wapo kituo cha Polisi cha msimbazi ambapo tunaendelea na upelelezi ukikamilika tutawafikisha mahakamani na kiasi cha dawa zilizokamatwa zimepelekwa kwa mkemia mkuu na itajulikana ni kiasi gani za dawa za kulevya zilizokamatwa,”amesema Hamduni.

Hamduni amesema jeshi hilo linafanya msako liweze kubaini mtandao mzima unaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya na watumiaji ili kuhakikisha wote wanachukuliwa hatua na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.

Itakumbukwa kuwa , Oktoba 24,2014, Chid alikamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere(JNIA) jiji la Dar es Salaam akiwa na dawa za kulevya, akijaribu kuvuka nazo kwenda mkoani Mbeya kushiriki onyesho la Instagramu Party wakati akijua kuwa ni kinyume cha sheria .

Msanii huyo wa kizazi kipya alikiri shtaka hilo na ndipo , Februari 26 mwaka 2015, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilipomhukumu kifungo cha miaka miwili jela au kulipa faini ya Sh900,000 baada ya kupatikana na hatia ya katika makosa matatu likiwemo la kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi na Heroine yenye thamani ya Sh 40,358.

Hata hivyo msanii huyo alifanikiwa kulipa faini na kukwepa kifungo hicho.

Chanzo:
Mwananchi
Sembe haijawahi kumwacha mtu salama
 
H
pic+chidbenzi.gif


Jeshi la polisi Mkoa wa Ilala, limewakamata watu saba akiwemo msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro maarufu kama ‘Chid Benz’ kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya Heroine.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Salum Hamduni amesema watuhumiwa hao walikamatwa Agosti 12 mwaka huu saa 11.50 jioni wakijihusisha na uuzaji wa dawa za kulevya.

Amesema jeshi la polisi limefanya msako wake na kuwakamata watuhumiwa hao wakiwa katika eneo ambalo linajihusisha na uuzaji wa dawa hizo.

“Chid Benz na wenzake wapo kituo cha Polisi cha msimbazi ambapo tunaendelea na upelelezi ukikamilika tutawafikisha mahakamani na kiasi cha dawa zilizokamatwa zimepelekwa kwa mkemia mkuu na itajulikana ni kiasi gani za dawa za kulevya zilizokamatwa,”amesema Hamduni.

Hamduni amesema jeshi hilo linafanya msako liweze kubaini mtandao mzima unaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya na watumiaji ili kuhakikisha wote wanachukuliwa hatua na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.

Itakumbukwa kuwa , Oktoba 24,2014, Chid alikamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere(JNIA) jiji la Dar es Salaam akiwa na dawa za kulevya, akijaribu kuvuka nazo kwenda mkoani Mbeya kushiriki onyesho la Instagramu Party wakati akijua kuwa ni kinyume cha sheria .

Msanii huyo wa kizazi kipya alikiri shtaka hilo na ndipo , Februari 26 mwaka 2015, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilipomhukumu kifungo cha miaka miwili jela au kulipa faini ya Sh900,000 baada ya kupatikana na hatia ya katika makosa matatu likiwemo la kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi na Heroine yenye thamani ya Sh 40,358.

Hata hivyo msanii huyo alifanikiwa kulipa faini na kukwepa kifungo hicho.

Chanzo:
Mwananchi

Haya ndio matokeo ya Kuweka sheria nyepesi nyepesi dhidi ya wauzaji na watumiaji wa dawa za kulevya eti Faini 900,000 au kifungo cha miaka miwili mmmh huu ni utani tu na motisha kwa watu wanaoifanya biashara hii ya mamilion ya pesa. CHINA wana adhabu nzuri tu wao hawana mchezo wakikudaka tu ujue lazima ugongwe chuma tu.
 
Sasahivi ni jela tu!! Hakuna kulipa fine wala nn maana ameshindwa kuwa kioo cha jamii
 
pic+chidbenzi.gif


Jeshi la polisi Mkoa wa Ilala, limewakamata watu saba akiwemo msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro maarufu kama ‘Chid Benz’ kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya Heroine.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Salum Hamduni amesema watuhumiwa hao walikamatwa Agosti 12 mwaka huu saa 11.50 jioni wakijihusisha na uuzaji wa dawa za kulevya.

Amesema jeshi la polisi limefanya msako wake na kuwakamata watuhumiwa hao wakiwa katika eneo ambalo linajihusisha na uuzaji wa dawa hizo.

“Chid Benz na wenzake wapo kituo cha Polisi cha msimbazi ambapo tunaendelea na upelelezi ukikamilika tutawafikisha mahakamani na kiasi cha dawa zilizokamatwa zimepelekwa kwa mkemia mkuu na itajulikana ni kiasi gani za dawa za kulevya zilizokamatwa,”amesema Hamduni.

Hamduni amesema jeshi hilo linafanya msako liweze kubaini mtandao mzima unaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya na watumiaji ili kuhakikisha wote wanachukuliwa hatua na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.

Itakumbukwa kuwa , Oktoba 24,2014, Chid alikamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere(JNIA) jiji la Dar es Salaam akiwa na dawa za kulevya, akijaribu kuvuka nazo kwenda mkoani Mbeya kushiriki onyesho la Instagramu Party wakati akijua kuwa ni kinyume cha sheria .

Msanii huyo wa kizazi kipya alikiri shtaka hilo na ndipo , Februari 26 mwaka 2015, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilipomhukumu kifungo cha miaka miwili jela au kulipa faini ya Sh900,000 baada ya kupatikana na hatia ya katika makosa matatu likiwemo la kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi na Heroine yenye thamani ya Sh 40,358.

Hata hivyo msanii huyo alifanikiwa kulipa faini na kukwepa kifungo hicho.

Chanzo:
Mwananchi
Huyo angenyongwa tu mchezo uishe
 
Pole yake.sielewi kwa nini kuacha hii kitu ni ngumu.wengi hurudia kutumia.
Ubongo na mfumo wa fahamu unakuwa ushaathirika, inakuwa ni addictive...

Btw habari za masiku, upo kisugar?
 
Yule rais Wa nchi sijui ya Peru ambaye anawaua watumiaji Na wauzaji Wa madawa ya kulevya,yupo sahihi kabisa!

DJ sepetu
 
Aisee jitahidi zaidi zinahitajika kwa kweli...kwa vile kuacha na kurudia hii kitu kwa wengi wanachemka...ingekua poa sana aidha serikali au hata NGO wajenge Rehab center ya nguvu kwa hawa wanaorudia wawekwe huko mpaka uchu wa kutumia hizi dawa uishe...hii ya kuwaacha kujichukulia dawa Mwananyamala na kwingineko alafu wanarudi mtaani ni ishu sana..
 
Uyu jamaa awez kuacha iyo kitu, wangemruhusu tu atumie,.. Akifa shauri yake,
 
Back
Top Bottom