Msanii Chid Benz akamatwa tena na dawa za kulevya

Naafiki na unachosema. Wanasaikolojia wanaweza kutupa ushauri juu ya namna bora ya kushughulika na waathirika wa, si madawa tu, bali hata wa hali ngumu ya maisha!
 
HAPO AKIKUTWA NA HATIA NI JELA MOJA KWA MOJA MAANA HII NI MARA YA PILI

POLE YAKE
 
Kamanda aliyechukua nafasi ya makonda ajiuzuru tu hajui analifanya au anapokea mrungula dawa walizokamata itakuwa ndio hizo wanazowauzia kina chidi
 
 
Adhabu kali inabidi zichukuliwe dhidi yake, maana wanabebwa sana hawabebeki
 
Boya sana huyo jamaa! Kuna watu wanamhurumia etii!
 
Pole yake.sielewi kwa nini kuacha hii kitu ni ngumu.wengi hurudia kutumia.

kuna dakatri alinambia, mwanaume ukiwa una ejaculate ukiwa unafanya mapenzi, ile raha unayopata yake ni dopamine 300 units, mtu akitumia Heroin akivuta ile raha anayoskia ni dopamine 1500 units (mara 5 ya wakati wa ku ejaculate), so u can imagine io level ya happiness anayokua nayo mtumiaji akiwa high. ndo maana ni ngumu kuacha ile kitu.

nmenukuu
 
Hakimu utakayesikiliza hiyo kesi mpeleke jela moja kwa moja bila kutoa option ya faini labda akitoka huko atakuwa raia mwema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…