TANZIA Msanii Costa Titch afariki dunia baada ya kudondoka stejini

Sijawahi kuona comment ya hovyo kama hii. Ni watu wangapi wamefariki wakifanya hiyo kazi yenu manyoiita ya Mungu unamjua TB JOSHUA? any Way wewe ni zero

Wazungu wamewaweza sana nyie wameletea dini kuwabrainwash na mmefanikiwa kuwa mazezeta kwa 100%
 
mtakufa na vile mlivokua mkivipenda, kwa maana ulipenda music ni hivo, ulipenda sana zinaa ni hivo, ulipenda ibada ni hivo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…