Mpuuzi ni ww unayetaka nisiamini nachokiamini,ww Kama huamini inatosha haina haja ya kutaka nize Kama wwAcha upuuzi mkuu hakuna nyimbo za kidunia wala za kimungu,hayo maimani yenu muwe mnachanganya na akili zenu
Sijawahi kuona comment ya hovyo kama hii. Ni watu wangapi wamefariki wakifanya hiyo kazi yenu manyoiita ya Mungu unamjua TB JOSHUA? any Way wewe ni zeroUliambiwa nyimbo za kidunia ni za Mungu?,au mnapenda kubishana bila sababu za msingi?,amefariki kwenye stej anaimba mambo ya duniani,hapo watu wamevaa uchi 99,%,walevi wa pombe sigara humo,wanao zini,kubambiana humo yaani kila aina ya uchafu huwa inapatikana humo,afu unabisha nn Sasa?
Ww mwenye akili,umekuja kwenye comment ya mpumbavu kufanya nn Kama na ww siyo mpumbavu mwenzangu?Sijawahi kuona comment ya kipumbavu kama hii. Ni watu wangapi wamefariki wakifanya hiyo kazi yenu manyoiita ya Mungu unamjua TB JOSHUA any wewe ni zero
[emoji706]Ww mwenye akili,umekuja kwenye comment ya mpumbavu kufanya nn Kama na ww siyo mpumbavu mwenzangu?
walikuwa na kifafa mkuu?Daah, hatar sana. Mbona kina rayvany wameanguka sana huko mastejini jaman!! Duh
Ushabadili IDDaaaAah
TayariiUshabadili ID
Sasa ulitaka akuache na upumbavu wako pasipo kukugawia maarifa ya kiakili kidogo?Ww mwenye akili,umekuja kwenye comment ya mpumbavu kufanya nn Kama na ww siyo mpumbavu mwenzangu?
Shetani Mkuu amevaa Ngozi ya Kondoo, tuwe na tahadhari kila hatua...Ushabadili ID
mtakufa na vile mlivokua mkivipenda, kwa maana ulipenda music ni hivo, ulipenda sana zinaa ni hivo, ulipenda ibada ni hivo,"popote mlipo yatakufikeni mauti ijapokuwa mtakuwa katika ngome zilizo madhubuti...."
Qur'an 4:78
Eeh itakuwaje unarudi kwa muumba wako una nywele za kijani mchanganyiko pink, umejichora tatoo mwili mzima, umefikwa na umauti stejini ukifanya show isiyoeleweka hata inahusu nini, hivi ndugu zangu namna hii ndio mwisho wa mwanadamu unapaswa kuwa?.
إنا لله وإنا إليه راجعون
Yeah
Wanadamu wamejaa chuki sana
Sitaki kukumbuka mapito aliyopitishwa na wafanyakazi wenzake mtu wangu wa karibu
Binadamu akiwa unconscious kitu cha kwanza analala flat.Sasa si angekaa chini jamani?
Namaanisha alipoanguka mara ya kwanzaBinadamu akiwa unconscious kitu cha kwanza analala flat.
Kabisa يبعث كلّ عبد على ما مات عليهmtakufa na vile mlivokua mkivipenda, kwa maana ulipenda music ni hivo, ulipenda sana zinaa ni hivo, ulipenda ibada ni hivo,