Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Alikuwa anapata bangi kwa urahisi kutoka kwa hamonaiziVipi Konde gang ilimsogea kokote?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anapata bangi kwa urahisi kutoka kwa hamonaiziVipi Konde gang ilimsogea kokote?
We wakati hata Ibra kakua inabidi afungue label yake 🤣🤣Label kila siku boss anaachia ngoma yeye tu[emoji28][emoji28]aki kuachia gape ni wiki moja tu afu ana toa ngoma linakufunika
Sawa.Hata sioni umuhimu wa mjadala huu
Trap ni kama Amapiano ni mziki wa kupita na usha anza kuondokaKi
ukweLi sidhani kama atarudi teNa kwenye uLe ubora wake naona ndo atakua kama chin bees tu kwenye trap ya bongo zama zao kama zitaondoka moja kwa moja hv iLa namuombea arudi kama zamani[emoji120][emoji120]
Brother wake Sedou Mandingo ameshindwa kumsaidia!?Sasa hivi anavuta sana bange napombe. Muda mwingi yuko weak sana na hana bidii ya kazi.
In short, sioni kama anafanya jitihada zozote
Haya Harmonize awaachie bure waende sasa.Hapo kwa Chidy na kill awakazie walipe mbwa hao wasiojitambua
Mtazamo wako upo sahihi kabisa.Tatizo la country boy ni kujiona Kendrick Lamar wakati kimziki bado ana safari ndefu snCountry mimi namwonaga kama anakuwaga high kila muda yani toka kitambo. Uwa namuona kama anaishi kwenye illusion kuwa yuko Marekani muda wote
Juhudi inasaidiwajeBrother wake Sedou Mandingo ameshindwa kumsaidia!?
Chid na Killy nao wapo njianiHuyu ndo kwisha Bora angebaki kwenye hlo genge
Na ile Crown sasa sijui atairudisha au la.Huyo kantri alicho ambulia kweye hilo genge ni kununuliwa tu bange za bure
Country Wizzy Aseme Tu Kwamba Ameona Hakuna Future Wala Cha Maana Pale Konde Gang Tutamuelewa Sio Kusema Mkataba Umeisha Si Unaweza Kurenew.Mlevi Country
Nasikia mkataba ulikuwa wa miaka 10🐒Country Wizzy Aseme Tu Kwamba Ameona Hakuna Future Wala Cha Maana Pale Konde Gang Tutamuelewa Sio Kusema Mkataba Umeisha Si Unaweza Kurenew.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mtu akiwa anaitwa "Juma Msenge" utapinga wakati ndilo jina lake halisi!? Bila shaka wewe una Uke.Juhudi inasaidiwaje
Halafu unaita mwanaume mandingo, wewe ni KE ?
Atafanyaje na hana vyanzo vya mapato mengi ule mgahawa sijui umeishia wapi na konde fmLabel kila siku boss anaachia ngoma yeye tu[emoji28][emoji28]aki kuachia gape ni wiki moja tu afu ana toa ngoma linakufunika
Chid na Killy nao wapo njiani