Huu ninahisi utakuwa msaada mdogo kati ya misaada aliyowahi kutoa ukikokotoa hapo atakaowalipia kod utakuta ni walevyumba vyao vina range 30000 mpaka 50000 kwa mwezi which means kwa mieiz mitatu ni kama lak unusu sa kwa familia 500 itakuwa kama milion 70.Sio kitu cha ajabu, ashazoeleka kutoa misaada, ila hii ni kubwa kuliko.
We jamaa bwana**kwa kaya isizidi 50,000/= . Mboe anatoa msaada gan?
billion mbili kimya kimya?Kik za Kipimbi tulishamzoea huyu hata akitoa msahada wa kiberiti kwa jirani atatangaza, kuna watu wanatoa misaada kimya kimya..
Kuna watu wametoa msaada wa janga la Corona, bilioni 2 kwa waziri Mkuu kimya kimya bila matangazo..
Alikiba kafanya kwao kigoma ila hataki watu wafahamuKama siyo kiki au kutoa tamko amelewa basi abarikiwe
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
AlikibaNani ametoa bil 2 kwenye hili janga bila kutangaza?
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Mbona unakua kama mtoto wa Chekechea,.billion mbili kimya kimya?
Sasa wewe umejuaje?
Nimekosea nini kaka??mo ni public figure kama anatoa msaada tungejua tu mkuu na ni muhimu kuwela open ili kuwa inspire na wengine!matajiri wanapata kingi inapobidi wanapaswa kutudisha kwa jamiimkuu umekosea kuwataka na wengine wafanye alichofanya mond, nina uhakika Moo kupitia foundation yake ametoa misaada mingi kwenye jamii tayari
Ndo maana nika sema na matajiri wengine,wakina mbowe,saul,ja pipo shabiby,abood,**kwa kaya isizidi 50,000/= . Mboe anatoa msaada gan?
Ali Kiba atapiga show bure kwa kaya 2000 kwa miezi 6Kijana mwenzetu licha mziki wake mzuri ana moyo mzuri pia.kaya 500 kwa usawa huu ni good idea hii ndo maana halisi ya kutoa ni moyo na kurudisha kwa jamii
Laiti kama matajiri wengine nao wangeiga mfano wa bwana simba,watu kama wakina Gsm,patel,muhamed wa simba,bwana bhakresa 10% population ingepata ahueni ya kodi!!!
Ngoja nika mtag tajiri wangu wa simb sport bwana mohamed angalau awalipie laya buku moja hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa basi analipwa...anaona mimi na hatarisha kibarua chakeinnocent dependent atachukia kwasababu umewahi kuileta hii habari kabla yake
Wahi upeleke jina la kaya yakoNgoja tusubirie huo utaratibu utakavyokuwa, na mchakato mzima wa kupata hizo familia 500.
Hii fungulia thread yake.
Mo hajawahi kutoa msaada wowote ndy maana huwa anatekwa yule Pimbi,huyu MBUMBUMBU anaesema mo katoa msaada kamuona lini??Nimekosea nini kaka??mo ni public figure kama anatoa msaada tungejua tu mkuu na ni muhimu kuwela open ili kuwa inspire na wengine!matajiri wanapata kingi inapobidi wanapaswa kutudisha kwa jamii
Sent using Jamii Forums mobile app