Msanii gani ambaye ulitokea kumkubali/ulipenda nyimbo zake lakini ALIPOTEA na unatamani arudi kwenye game

Msanii gani ambaye ulitokea kumkubali/ulipenda nyimbo zake lakini ALIPOTEA na unatamani arudi kwenye game

Top c_
Huyu dogo alikuja na goma Kali waliliita " urofa" baada ya happy akapotea mpaka kesho.
Mwingine Ni huyu anaitwa Alikiba alikuja vizuri miaka ya 2007 lakini baada ya happi akafulia mpaka leo. Inasemekana yupo nanjilinji analima korosho
 
Wale walioimba kama walevi fulani hv;
'mke wa mtu ni sumu.....
Wa wa wawaaa!

Usijaribu chombeza,
ya ya yayaaa!

Yatakuja yakukute,
Wa wa wawaaa!
Usiyoyategemeaaa!


Hii style yao ya kuimba ilinichekesha sana.
 
Baraka da prince, ruby, harmonize, aslay, hawa si kwamba bado wanaforce muzik lkn ni kwamba wakirudi ktk uhalisia wa ule muziki waliokuwa wakiimba mwanzo basi itakuwa vzr.

Viburi, ujuwaji, uvivu, na kukosa support ndvyo vinawauwa hawa na muziki wao wa kubahatisha.

Huyo kijana mmakonde kama ataachana na mambo ya kiki mitandaon, majungu na mibangi na kuboresha ile aina ya muziki aliyokuwa akiimba akiwa na mabosi.zake basi atafika mbali, lkn akiendeleza kiburi na ujuwaji basi , komenti hii 2025 itakuwa kama referrence ya maonyo hapo muziki wake ukiwa umechokwa na kapitwa na vijana wadogo kama akina marioo
 
Top c_
Huyu dogo alikuja na goma Kali waliliita " urofa" baada ya happy akapotea mpaka kesho.
Mwingine Ni huyu anaitwa Alikiba alikuja vizuri miaka ya 2007 lakini baada ya happi akafulia mpaka leo. Inasemekana yupo nanjilinji analima korosho
Daaah urofa ilikuwa hatari sana
 
Squeezer (sijui ndio linaandikwa hvyo)
D nob
Steve rnb
At
Enika
Gk
Jay dee (wazan naona ni bora kuliko sasa sijui ndio uzee unaninyemelea)
Ray C
Stara thomas
Bizman
Vumi (vumilia) sijui yupo wap
Daz nunda
Mike T
Banana zoro
Kassim mganga
Mr Paul
Bob Rudala (sijui bado yupo hai)
Esther wasira
Bob haisa
Kadjanito
Mwasiti (nae siku hiz havumi)
Namsi
Beka
Jolie
Dogo dito
Wagosi wa kaya
Eby skizy (nahis inaandikwa hvyo)
V2
 
1.
Kwa upande wangu kuna hawa jamaa yani wanasauti nzuri sana tena huenda kuzidi baadhi ya msanii wanao sumbua kwasasa

[emoji2389] Mb dog
Huyu jamaa alisumbua sana miaka ya 2005 na kidogo,,anasauti nzuri sana alipeta na vibao vyake kama latifa,si ulinambi, mapenzi kitu gani na vingne vingi ,,anavocal nzuri sana sijui saa hizi yuko wapi,,natamani sana arudi kwenye game najua kiti chake bado kipo atakifuta vumbi tu

[emoji2390] Z anto
Huyu jamaa nae alitikisa sana enzi hizo na vibao vyake kama mpenzi jini,binti kiziwi,, na vingne lakini alipotea kwenye game gafla inasemekana alichanganya mapenzi na kazi lakini napenda nimuone sikuona akirudi Kwenye game

[emoji2391] Mo music
Huyu kijana alikuwa ni kinda ambae anakuja vizuri sana na vibao vyake kama basi nenda,n.k mara gafla akapotea kwenye game sijui shida nini na sijui yuko wapi ila natamani nimuone siku moja anarudi kwenye game naamini bado ananafasi yake inamsubiri

[emoji2393] Neyba
Huyu jamaa alikuwa ni chorus killer ukimshirikisha kwenye wimbo wako anaunogesha lazima utapendwa tu sijui yuko wapi, sijui anafanya nini natamani nimuone siku moja tena kwenye game

Nawe ongezea wako,unaowatamani warudi tena kwenye game ya muzidi wa bongo fleva
[emoji2394]

[emoji2395]

[emoji2396]

[emoji2397]

[emoji647]
1.domo kaya
2. Juma nature
3. Ferooz
4.Temba
5. KR
6. John Walker
7. kali P
 
Squeezer (sijui ndio linaandikwa hvyo)
D nob
Steve rnb
At
Enika
Gk
Jay dee (wazan naona ni bora kuliko sasa sijui ndio uzee unaninyemelea)
Ray C
Stara thomas
Bizman
Vumi (vumilia) sijui yupo wap
Daz nunda
Mike T
Banana zoro
Kassim mganga
Mr Paul
Bob Rudala (sijui bado yupo hai)
Esther wasira
Bob haisa
Kadjanito
Mwasiti (nae siku hiz havumi)
Namsi
Beka
Jolie
Dogo dito
Wagosi wa kaya
Eby skizy (nahis inaandikwa hvyo)
V2
Baba umetisha sana🙌🙌🙌
 
Squeezer (sijui ndio linaandikwa hvyo)
D nob
Steve rnb
At
Enika
Gk
Jay dee (wazan naona ni bora kuliko sasa sijui ndio uzee unaninyemelea)
Ray C
Stara thomas
Bizman
Vumi (vumilia) sijui yupo wap
Daz nunda
Mike T
Banana zoro
Kassim mganga
Mr Paul
Bob Rudala (sijui bado yupo hai)
Esther wasira
Bob haisa
Kadjanito
Mwasiti (nae siku hiz havumi)
Namsi
Beka
Jolie
Dogo dito
Wagosi wa kaya
Eby skizy (nahis inaandikwa hvyo)
V2
GK tunammisi sana
 
Matonya, nb doggy, juma nature, z anto, voice wonder, kasim mganga, wagosi, joseline,blue (mapoz), shika mwenyewe usome barua hii, jdeee, ray c, n.k
Mkuu shika mwnyewe usome ni Wimbo wa DazNundaz. Wimbo mkali sana
 
Back
Top Bottom