Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Kumbe ni mbunge sikuwahi kujuaKashalewa na ubunge sahivi, hataki tabu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni mbunge sikuwahi kujuaKashalewa na ubunge sahivi, hataki tabu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbunge sahivi kanenepa zaidi, yaan kawa vizuri.Kumbe ni mbunge sikuwahi kujua
Mwana wa komba alikuwa vzuri sana,,,alinikosha na wimbo wake wa 'nakuhutaji'Tuvumiliane tulipotoka ni mbali, sahau yote yaliyopita..
Caz T naona hamumtaji.
Hivi momba mzee wa mdundiko yuko wapiKwa upande wangu kuna hawa jamaa yani wanasauti nzuri sana tena huenda kuzidi baadhi ya msanii wanao sumbua kwasasa
[emoji2389] Mb dog
Huyu jamaa alisumbua sana miaka ya 2005 na kidogo,,anasauti nzuri sana alipeta na vibao vyake kama latifa,si ulinambi, mapenzi kitu gani na vingne vingi ,,anavocal nzuri sana sijui saa hizi yuko wapi,,natamani sana arudi kwenye game najua kiti chake bado kipo atakifuta vumbi tu
[emoji2390] Z anto
Huyu jamaa nae alitikisa sana enzi hizo na vibao vyake kama mpenzi jini,binti kiziwi,, na vingne lakini alipotea kwenye game gafla inasemekana alichanganya mapenzi na kazi lakini napenda nimuone sikuona akirudi Kwenye game
[emoji2391] Mo music
Huyu kijana alikuwa ni kinda ambae anakuja vizuri sana na vibao vyake kama basi nenda,n.k mara gafla akapotea kwenye game sijui shida nini na sijui yuko wapi ila natamani nimuone siku moja anarudi kwenye game naamini bado ananafasi yake inamsubiri
[emoji2393] Neyba
Huyu jamaa alikuwa ni chorus killer ukimshirikisha kwenye wimbo wako anaunogesha lazima utapendwa tu sijui yuko wapi, sijui anafanya nini natamani nimuone siku moja tena kwenye game
Nawe ongezea wako,unaowatamani warudi tena kwenye game ya muzidi wa bongo fleva
[emoji2394]
[emoji2395]
[emoji2396]
[emoji2397]
[emoji647]
Anhaaa LuchaTID ,RAY C, Lady jaydee, Saida karoli, hawa walifanya enzi za utoto wangu nifurahie sana , nikiiskiliza nyimbo ya Zeze nakumbuka mara ya kwanza kuoona kwenye Tv nilikua natoka kuogeshwa na shangazi.
Nikikumbuka nyimbo ya "Mapenzi matamuu niwapo nawe mpenzi" nakumbua ndoa ya baba yangu mdogo iliingizwa kwenye video ya ndoa yao niliiona nikiwa mtoto enzi hizo
Nikikumbuka nyimbo ya "chambua Kama karaga" namkumbuka Samira nilicheza nae kibaba na mama, nikikumbuka "Siwemaa usinipe mateso ya moyooo" namkumbuka jackline shule ya msingi nilimpenda Ila sikuwahi kumwambia hadi leo sijui Yuko wapi
Yeah, sio Tundaman jamaa kubwa kishenzi halafu linaimba nyimbo za kulialia tu.flow ngumu ngumu.
🤣🤣🤣Yeah, sio Tundaman jamaa kubwa kishenzi halafu linaimba nyimbo za kulialia tu.
Caz T nakuhitajiTuvumiliane tulipotoka ni mbali, sahau yote yaliyopita..
Caz T naona hamumtaji.
Kali P kamrudia Allah kwasasa , Yupo kitunda huko.Kali p ,dudu baya
FEROOZ , Huyu mnyama ni hatateee ,,atafutwe asaidiwe please ,,,captain Jacob Kindole AKA Roho Saba dah jamaa alkua anajua sana sema jeshi limempenda zaidi
Mwingine Gwamaka Kahiula AKA King Crazy GK dah Kigugumiz styl