Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
20% supperVoice wonder
Joseline
Marlaw
20%
Afande Seleman Msindi
enzi hizo kuna East coastGK tunammisi sana
unaitwa baruaMkuu shika mwnyewe usome ni Wimbo wa DazNundaz. Wimbo mkali sana
"sitaki tena kuumizwa" kamshirikisha linahNyimbo moja matata ya Sagina
Yesi huo huo"sitaki tena kuumizwa" kamshirikisha linah
Jamaa ana flow hivi amazing ya Stameringenzi hizo kuna East coast
Marlow alivyomuoa besta tu na akaacha kuimba wakati besta nae alikuwa msaniiMarlow
Huyu jamaa sijui nini kilimpoteza
Rama dee kipaji sana yule mwamba,,, kwenye rnb hakuna kama yeye,,,alioa mzungu akaenda ughaibuni na mambo muziki yakaanza kupungua taratibu1)Abby skillz
2)Enika
3)Berry black
4)damian soul
5)rama dee
6) qjay
7)mack D
8)dogo ditto & mc koba
9)norah
10)mr blue
Hivi john walker alifariki nahisi kama sijakosea1.
1.domo kaya
2. Juma nature
3. Ferooz
4.Temba
5. KR
6. John Walker
7. kali P
Sijajua kama kabadili biashara saa hzi ila alikuwa anauza duka la spear,,,alikuwa karibu na mama yake pia alikuwa anaduka mtaa huo huoSio kwamba ana hardware kahama? Au me ndo nimechanganya?
Daaah nakaaya mr politician ilibamba sana sio mchezo,,nakaaya alikuwa chadema baada ya mda akasaliti chama akaenda ccm akagombea ubunge,wajumbe sio watu wazuri walimchinjilia mbali mpaka leo yupo kimya sanaNakaya, Domo Kaya, Mr. Yebo,
Kipindi kile east coast walikuwa wanafanya muziki kama kitu wanachopenda tu lakini sio muziki biasharaenzi hizo kuna East coast
Hahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mo Music hiyo ngoma yake huwa inanikumbusha ex wangu. Fala sana yule, nilikutwa naimba huo wimbo wakati tuna mgogoro. Nikaambiwa namuimbia yeye, kibuti cha bw misosi kikanipitia
Only MAN GWAIRKwa upande wangu kuna hawa jamaa yani wanasauti nzuri sana tena huenda kuzidi baadhi ya msanii wanao sumbua kwasasa
[emoji2389] Mb dog
Huyu jamaa alisumbua sana miaka ya 2005 na kidogo,,anasauti nzuri sana alipeta na vibao vyake kama latifa,si ulinambi, mapenzi kitu gani na vingne vingi ,,anavocal nzuri sana sijui saa hizi yuko wapi,,natamani sana arudi kwenye game najua kiti chake bado kipo atakifuta vumbi tu
[emoji2390] Z anto
Huyu jamaa nae alitikisa sana enzi hizo na vibao vyake kama mpenzi jini,binti kiziwi,, na vingne lakini alipotea kwenye game gafla inasemekana alichanganya mapenzi na kazi lakini napenda nimuone sikuona akirudi Kwenye game
[emoji2391] Mo music
Huyu kijana alikuwa ni kinda ambae anakuja vizuri sana na vibao vyake kama basi nenda,n.k mara gafla akapotea kwenye game sijui shida nini na sijui yuko wapi ila natamani nimuone siku moja anarudi kwenye game naamini bado ananafasi yake inamsubiri
[emoji2393] Neyba
Huyu jamaa alikuwa ni chorus killer ukimshirikisha kwenye wimbo wako anaunogesha lazima utapendwa tu sijui yuko wapi, sijui anafanya nini natamani nimuone siku moja tena kwenye game
Nawe ongezea wako,unaowatamani warudi tena kwenye game ya muzidi wa bongo fleva
[emoji2394]
[emoji2395]
[emoji2396]
[emoji2397]
[emoji647]
Daaah dulayo inauma sana aise,,,,alituburudisha sana enzi hizo na 'naumia roho' n.k1. Young Dee
Enzi anaimba Kijukuu, Ticha etc lakini alivyoanza kua ukaribu na hawa vijana wa 26 namba, kwisha.
2. Jaji Hakim
Huyu aliimba Ninavyofanya. Aliimba vizuri sana lakini hajawahi kutoa tena wimbo.
3. Yakhi
Tonigh. Dah Hiki kipajincha Iringa ilikua noma na nusu.
4. Daz Nundaz
Hawa hawajawahi kukosea. Nilikununua hadi album yao aisee. Pini zote kali.
5. Jay Moe & Mwana FA
Wale wa zamani sio hawa wa sasa siwaelewi. Moe Tec na Falsafa walikua na unadishi flani amazing.
6. Dullayo
Nimeumia sana kuona uzi juzi Dullayo kawa mlevi aisee niliumia saaana.
Kashalewa na ubunge sahivi, hataki tabu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Keisha natamani mno