Msanii gani ambaye ulitokea kumkubali/ulipenda nyimbo zake lakini ALIPOTEA na unatamani arudi kwenye game

Msanii gani ambaye ulitokea kumkubali/ulipenda nyimbo zake lakini ALIPOTEA na unatamani arudi kwenye game

Mo Music hiyo ngoma yake huwa inanikumbusha ex wangu. Fala sana yule, nilikutwa naimba huo wimbo wakati tuna mgogoro. Nikaambiwa namuimbia yeye, kibuti cha bw misosi kikanipitia
 
1)Abby skillz
2)Enika
3)Berry black
4)damian soul
5)rama dee
6) qjay
7)mack D
8)dogo ditto & mc koba
9)norah
10)mr blue
Rama dee kipaji sana yule mwamba,,, kwenye rnb hakuna kama yeye,,,alioa mzungu akaenda ughaibuni na mambo muziki yakaanza kupungua taratibu
 
Nakaya, Domo Kaya, Mr. Yebo,
Daaah nakaaya mr politician ilibamba sana sio mchezo,,nakaaya alikuwa chadema baada ya mda akasaliti chama akaenda ccm akagombea ubunge,wajumbe sio watu wazuri walimchinjilia mbali mpaka leo yupo kimya sana
 
Mo Music hiyo ngoma yake huwa inanikumbusha ex wangu. Fala sana yule, nilikutwa naimba huo wimbo wakati tuna mgogoro. Nikaambiwa namuimbia yeye, kibuti cha bw misosi kikanipitia
Hahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa upande wangu kuna hawa jamaa yani wanasauti nzuri sana tena huenda kuzidi baadhi ya msanii wanao sumbua kwasasa

[emoji2389] Mb dog
Huyu jamaa alisumbua sana miaka ya 2005 na kidogo,,anasauti nzuri sana alipeta na vibao vyake kama latifa,si ulinambi, mapenzi kitu gani na vingne vingi ,,anavocal nzuri sana sijui saa hizi yuko wapi,,natamani sana arudi kwenye game najua kiti chake bado kipo atakifuta vumbi tu

[emoji2390] Z anto
Huyu jamaa nae alitikisa sana enzi hizo na vibao vyake kama mpenzi jini,binti kiziwi,, na vingne lakini alipotea kwenye game gafla inasemekana alichanganya mapenzi na kazi lakini napenda nimuone sikuona akirudi Kwenye game

[emoji2391] Mo music
Huyu kijana alikuwa ni kinda ambae anakuja vizuri sana na vibao vyake kama basi nenda,n.k mara gafla akapotea kwenye game sijui shida nini na sijui yuko wapi ila natamani nimuone siku moja anarudi kwenye game naamini bado ananafasi yake inamsubiri

[emoji2393] Neyba
Huyu jamaa alikuwa ni chorus killer ukimshirikisha kwenye wimbo wako anaunogesha lazima utapendwa tu sijui yuko wapi, sijui anafanya nini natamani nimuone siku moja tena kwenye game

Nawe ongezea wako,unaowatamani warudi tena kwenye game ya muzidi wa bongo fleva
[emoji2394]

[emoji2395]

[emoji2396]

[emoji2397]

[emoji647]
Only MAN GWAIR
She got a gwa
mikasi
 
1. Young Dee

Enzi anaimba Kijukuu, Ticha etc lakini alivyoanza kua ukaribu na hawa vijana wa 26 namba, kwisha.

2. Jaji Hakim

Huyu aliimba Ninavyofanya. Aliimba vizuri sana lakini hajawahi kutoa tena wimbo.

3. Yakhi

Tonigh. Dah Hiki kipajincha Iringa ilikua noma na nusu.

4. Daz Nundaz

Hawa hawajawahi kukosea. Nilikununua hadi album yao aisee. Pini zote kali.

5. Jay Moe & Mwana FA

Wale wa zamani sio hawa wa sasa siwaelewi. Moe Tec na Falsafa walikua na unadishi flani amazing.

6. Dullayo

Nimeumia sana kuona uzi juzi Dullayo kawa mlevi aisee niliumia saaana.
 
1. Young Dee

Enzi anaimba Kijukuu, Ticha etc lakini alivyoanza kua ukaribu na hawa vijana wa 26 namba, kwisha.

2. Jaji Hakim

Huyu aliimba Ninavyofanya. Aliimba vizuri sana lakini hajawahi kutoa tena wimbo.

3. Yakhi

Tonigh. Dah Hiki kipajincha Iringa ilikua noma na nusu.

4. Daz Nundaz

Hawa hawajawahi kukosea. Nilikununua hadi album yao aisee. Pini zote kali.

5. Jay Moe & Mwana FA

Wale wa zamani sio hawa wa sasa siwaelewi. Moe Tec na Falsafa walikua na unadishi flani amazing.

6. Dullayo

Nimeumia sana kuona uzi juzi Dullayo kawa mlevi aisee niliumia saaana.
Daaah dulayo inauma sana aise,,,,alituburudisha sana enzi hizo na 'naumia roho' n.k
 
Hivi pig black yuko wapi!

Sura yake hadi leo siijui ila alikuwa na sauti ya ajabu.ile ngoma yske ya "nini mnataka mazee" ilibamba sana.Majani ile beat ya hii ngoma alipigwa scratch za kibabe sana.daah noma

Halafu Big dog Pose nao wako wapi.Wazee wa "kumwambia na kumwimbia" daah

Old is gold
 
Back
Top Bottom