Msanii gani ambaye ulitokea kumkubali/ulipenda nyimbo zake lakini ALIPOTEA na unatamani arudi kwenye game

Tuvumiliane tulipotoka ni mbali, sahau yote yaliyopita..
Caz T naona hamumtaji.
 
Joselin
TiD
Baraka da Prince
Lady jay dee wa zamani, huyu wa sasa sjui anaimba vitu gani
Wakali kwanza + Enika
 
TID ,RAY C, Lady jaydee, Saida karoli, hawa walifanya enzi za utoto wangu nifurahie sana , nikiiskiliza nyimbo ya Zeze nakumbuka mara ya kwanza kuoona kwenye Tv nilikua natoka kuogeshwa na shangazi.
Nikikumbuka nyimbo ya "Mapenzi matamuu niwapo nawe mpenzi" nakumbua ndoa ya baba yangu mdogo iliingizwa kwenye video ya ndoa yao niliiona nikiwa mtoto enzi hizo

Nikikumbuka nyimbo ya "chambua Kama karaga" namkumbuka Samira nilicheza nae kibaba na mama, nikikumbuka "Siwemaa usinipe mateso ya moyooo" namkumbuka jackline shule ya msingi nilimpenda Ila sikuwahi kumwambia hadi leo sijui Yuko wapi
 
Hivi momba mzee wa mdundiko yuko wapi
 
Anhaaa Lucha
 
captain Jacob Kindole AKA Roho Saba dah jamaa alkua anajua sana sema jeshi limempenda zaidi

Mwingine Gwamaka Kahiula AKA King Crazy GK dah Kigugumiz styl
 
captain Jacob Kindole AKA Roho Saba dah jamaa alkua anajua sana sema jeshi limempenda zaidi

Mwingine Gwamaka Kahiula AKA King Crazy GK dah Kigugumiz styl
FEROOZ , Huyu mnyama ni hatateee ,,atafutwe asaidiwe please ,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…