Teamanaconda
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 602
- 564
Huyu jamaa Bora arudi aiseeMarlow
Huyu jamaa sijui nini kilimpoteza
LWP, Life With People, walikua na ngoma yao walimshirikisha inspector Hatuna, wanaokwenda jela Sio wote wana hatiaWale walioimba kama walevi fulani hv;
'mke wa mtu ni sumu.....
Wa wa wawaaa!
Usijaribu chombeza,
ya ya yayaaa!
Yatakuja yakukute,
Wa wa wawaaa!
Usiyoyategemeaaa!
Hii style yao ya kuimba ilinichekesha sana.
Wewe ni legendBig Dog Poz - Kama kumwambia au kumwimbia matatizo dunia me naumia naeee
Sent from simu ya kuazima
LWP umekosea kirefu chake ni live with purposeLWP, Life With People, walikua na ngoma yao walimshirikisha inspector Hatuna, wanaokwenda jela Sio wote wana hatia
Ni OCG na sio OGCSina demu
Kikao cha family-Rama dee
Mn'garo wa silver-Nuruel
Kosa la marehemu-Swahilini matola
Aqwelina-OGC
Kizazaa-OGC
Tusishie hapo kwa sasa
Inspector HATUNA?LWP, Life With People, walikua na ngoma yao walimshirikisha inspector Hatuna, wanaokwenda jela Sio wote wana hatia
Ana wimbo unaitwa "sitaki visa vyako" nimekuwa nikiutafuta kwa muda mrefu bila mafanikioš¢Stara Thomas
Harmonize ni Dudu Baya ajaye.Baraka da prince, ruby, harmonize, aslay, hawa si kwamba bado wanaforce muzik lkn ni kwamba wakirudi ktk uhalisia wa ule muziki waliokuwa wakiimba mwanzo basi itakuwa vzr.
Viburi, ujuwaji, uvivu, na kukosa support ndvyo vinawauwa hawa na muziki wao wa kubahatisha.
Huyo kijana mmakonde kama ataachana na mambo ya kiki mitandaon, majungu na mibangi na kuboresha ile aina ya muziki aliyokuwa akiimba akiwa na mabosi.zake basi atafika mbali, lkn akiendeleza kiburi na ujuwaji basi , komenti hii 2025 itakuwa kama referrence ya maonyo hapo muziki wake ukiwa umechokwa na kapitwa na vijana wadogo kama akina marioo