Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
Hapana ile Nako 2 Nako ya Lord eyes Ibra G nako kipindi kile wanatoa ngoma kama Machafuko Hawatuwezi Ndo zetu hii kwa ajili yako ukiingalia katika kipindi hiki Bou Nako kama alikuwa sana Arushachid benz enzi zake...Bou Nako ushamuona?
kweli...enzi hizo Lord Eyes anatoka na Ray CHapana ile Nako 2 Nako ya Lord eyes Ibra G nako kipindi kile wanatoa ngoma kama Machafuko Hawatuwezi Ndo zetu hii kwa ajili yako ukiingalia katika kipindi hiki Bou Nako kama alikuwa sana Arusha
Daaha noma sana...!!2018 nimekutana ba Belle 9 naelekea mwanza nimepanda kisbo tulikaa sit moja yeye alipandia moro akashuka dodoma.muongeaji kawaida tu ila alikua anajishtukia shtukia sasa sijui why...ila usanii ni kazi ngumu sanaa
Yah miaka hiyokweli...enzi hizo Lord Eyes anatoka na Ray C
Hapana ile Nako 2 Nako ya Lord eyes Ibra G nako kipindi kile wanatoa ngoma kama Machafuko Hawatuwezi Ndo zetu hii kwa ajili yako ukiingalia katika kipindi hiki Bou Nako kama alikuwa sana Arusha
Joh makini alikua anapenda sana kucheza pool table pale mwenge opposite na Kota za jeshiWasanii wengi wa Arusha waliopo Dar nimekaa na kupiga nao story mitaa ya Sinza. Maisha yanaenda kasi sana.
Wengine ni Bongo Movie na wadada wa kwenye video sijui ndio video vixsen ata sielewi inaandikwaje.
Mkuu ulisoma Mbezi beach?Sheta alikuwa ana vituko nakumbuka kipindi hiko tupo form 4 mwaka 2008 tukaenda kwao Boma kusolve paper fake kipindi tunapiga necta sasa wakati sisi tunasolve paper yeye kasolve saaa moja kachoka akakimbika akaenda chumbani kwake akawa anaimba nyimbo zake halafu akawa anasema anaejisikia kachoka aje kuimba wakati kesho necta
Hakeem five huyu nilisoma nae kuna siku tupo darasani jamaa alikuwa ananipigia chabo sana halafu zikija matokeo muda mwingine ananipita wakati muda wote ananigelezea basi nikawa namuambia Hashimu(Hakeem five ) sitaki unipigie chabo maana yakija matokeo ananipita labda somo moja sio yote nilikuwa nachukia kweli
Chid Benz mikono vululu ukikutana nae mtaan yaan jamaa alikuwa ana misemo yenye akili kama una bichwa bovu huwezi elewa
Q chief sikujuwa kama alikuwa msanii kwenye miaka 2000 nilikuwa kama na miaka 9 tupo maskani tunasikiliza nyimbo yake sasa kuna jamaa mmoja akawa anasema Abuu(q chief) anaimba sauti kama ya kike kipindi kile ile nyimbo Aseme akija maskani tunakula nae mihogo basi tukawa tunamtania Daa msanii mkubwa anashindia mihogo
Nako2nako hasa ibra Du hutsla huyu ndio alinifanya nipende hip pop 2006 na 2007
kipindi hicho anafanya hip hop ngumu hahaaJoh makini alikua anapenda sana kucheza pool table pale mwenge opposite na Kota za jeshi
mzee kwa nini unajiita jina baya hivyo?Yah miaka hiyo
I might have her WhatsApp number🤔Vipi kuhusu mawasiliano?
anasemaje harmorapa?Hamorapa
Mwanzoni mwa miaka ya tisini niligongana na Mbilia Bel mitaani jijini Brusseles tukaongea naye kiswahili halafu nikamwalika nyumbani kwangu nikiahidi kumpikia ugali kwa samaki. Alikuja na bwana wake Rigo Star tukala ugali!! Rigo Star alikuwa hajui kiswahili, ila mbilia Bel alikuwa anakijua sana kile cha "bandugu bangu"Nakumbuka kwangu enzi nipo Arusha miaka ya 2016 , Nlikuwa na kawaida ya kwenda club D maeneo ya Moshono.
Siku ya siku wakaja kina Mr Blue na Rommy Jons ambae alipewa u DJ.
Cha ajabu hatukuwa wengi sana, hatukufika hata 30,
Basi ikawa Mr Blue ananipa mic sana tu niwe nafuatiliza nyimbo zake maana nilikuwa nimezikariri nyingi.
Ilikuwa poa sana ile siku kwangu, Jamaa yupo peace hana makuu
Nimewahi kufanya kakazi na JB...yupo poa sana hana noma,
AM ADDICTED🤭🤭.Beyonce nilikutana nae Minnesota 2019