dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Ukipata msiba Wa namna hiyo utajua nini maana ya kifo/kufiwa hasa mtu Wa karibuDuh!
King Zilla.
Anyway, we all doomed to die.
Mimi nilijua kifo kipo baada ya kufiwa na mama yangu late 2018.
Sijawahi kuona maumivu makali namna ile.
Poleni ndugu wa King Zilla.
Am very sorry for your loss.Nilikuwa sielewi maumivu ya kifo hadi nilipoondokewa na mdogo wangu wa kike. Tulizaliwa wasichana wawili tu. Now nimebakia na kaka zangu tu. Tulikuwa tunapendana sana. Sina hata wa kusogoa naye na kuambiana siri kwa sasa. Maumivu ya kuondokewa na dada yangu wa pekee ni makali sana.
Ningekuwa muumba bora ningemtanguliza yule Dada mpenda kukaa uchi sijui poshy kwini au wema lkn sina namna kila mtu kwa wakati wake,pumzika mahala ulipojiandalia wakati wa uhai wako Godzilla.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasq niki wa pili si ni mshambs wa Arushahata mir sisikiliz sana bongo flavor..ila kwa king ah acha kbs...alafu ana saui unique mnoo..nick kama yupo soft kidg.siijui rap ila king is the best...zilla kama hanaga shauo vile qnaimbaga fact tofauti na nick ana mbwembwe sana
R.I.P zillaMwanamuziki huyo wa miondoko ya Hip Hop amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwao Salasala Jijini Dar, mwili umehifadhiwa Hospitali ya Jeshi Lugalo.
Atakumbukwa kwa vibao vyake kama vile Nataka na Kingzilla
Aidha, Godzilla alijizolea umaarufu na mashabiki wengi kutokana na umahiri wake wa kuimba mashahiri ya papo kwa papo 'Freestyle'
--
Inasikitisha sana kuona Kijana mpiganaji anatuacha mapema hivi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji26][emoji26][emoji26] Upumzike kwa Amani Kingzilla...salasala[emoji24]View attachment 1021043
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hajasikiliza NATAKA, Jinsi Game alioimba na Madee, pia kashirikishwa kwenye Mkono Mmoja Remix ya kina Chege, kuna ule waimbaga "Jinsi Tulivyo, watu wanakaa, KingZila KingZila ni balaa, everybody know",...., etc. Kifupi huyu jamaa hana nyimbo mbaya
Kwaio baada ya kumaliza chuo kuanzia 2008-2013 ulikua husikilizi redio wala kuangalia TV za Tanzania? Au ulikua bado hujanunua TV na Redio?Wewe ni mwanangu kabisa yaani. Nimemaliza chuo 2007. Piga mahesabu
Sema kwa muda huo wote mnakuwa mmepigwa upofu. Hamuwezi kutambua mpk atakapokufa.Marehemu kabla ya siku 40 Za kifo chake huwa kuna alama anazifanya kwa watu waliomzunguka akisha fariki ndio unaunganisha dots.
Sina TV wala RadioKwaio baada ya kumaliza chuo kuanzia 2008-2013 ulikua husikilizi redio wala kuangalia TV za Tanzania? Au ulikua bado hujanunua TV na Redio?
Baba yake alifariki akiwa darasa la pili, ni mama yake tu ndo yupo hai.Nazidi kuikumbuka Tanzania ya Nyerere ambapo makabuli yalikuwa machache yani tofauti kabisa na sasa ambapo kila kona kuna makabuli,pia ilikuwa sio kawaida kuona kijana mdogo amefaliki kwa magonjwa tulizoea kuona sisi vijana tukizika wazee ila sasa baada ya miaka mingi kibao kimenigeukia tena yani wazee ndio tunazika vijana sasa
Apumzike kwa amani,wazazi wake(kama wapo) mungu awape wepesi katika wakati huu maana uchungu wa kuzika mtoto naujua...
Sent using Jamii Forums mobile app
mungu ampe wepesi mama yakeBaba yake alifariki akiwa darasa la pili, ni mama yake tu ndo yupo hai.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa nazishangaa sana hizi kauli. mfano kabla huyu jamaa hajafa angekuja malaika akakuambia amchukue mzazi wako badala ya huyu kijana ungekuwa tayari?
Nimetoka kumzika mzee wangu majuzi tu. Siku mbili kabla hajafariki alikuwa ananiusia kuhusu jamaa zetu, jinsi ya kuishi na mama yetu mlezi aliyetuachia pia alikuwa ananikumbusha nisiache kumuombea kwa mwenyezi mungu siku zote. Then nilipokuwa naondoka akaniambia kuanzia leo itabidi ugangamale siku si nyingi utakua baba wa familia hivyo usikubali ndugu wakuyumbishe.Marehemu kabla ya siku 40 Za kifo chake huwa kuna alama anazifanya kwa watu waliomzunguka akisha fariki ndio unaunganisha dots.
Miongoni mwa watu walio niinspire kufanya freestyle alikuwa huyu jamaa.....([emoji146] zilla)Mwanamuziki huyo wa miondoko ya Hip Hop amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwao Salasala Jijini Dar, mwili umehifadhiwa Hospitali ya Jeshi Lugalo.
Atakumbukwa kwa vibao vyake kama vile Nataka na Kingzilla
Aidha, Godzilla alijizolea umaarufu na mashabiki wengi kutokana na umahiri wake wa kuimba mashahiri ya papo kwa papo 'Freestyle'
--
Inasikitisha sana kuona Kijana mpiganaji anatuacha mapema hivi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji26][emoji26][emoji26] Upumzike kwa Amani Kingzilla...salasala[emoji24]View attachment 1021043
Sent using Jamii Forums mobile app