TANZIA Msanii Golden Jacob Mbunda(Godzilla) afariki dunia

TANZIA Msanii Golden Jacob Mbunda(Godzilla) afariki dunia

Nilikuwa sielewi maumivu ya kifo hadi nilipoondokewa na mdogo wangu wa kike. Tulizaliwa wasichana wawili tu. Now nimebakia na kaka zangu tu. Tulikuwa tunapendana sana. Sina hata wa kusogoa naye na kuambiana siri kwa sasa. Maumivu ya kuondokewa na dada yangu wa pekee ni makali sana.
Am very sorry for your loss.
 
Mungu hayuko hivyo,humchukua mtu pale tu anapomaliza jukumu au kusudi lake katika uwepo wake hapa duniani,hao wote uliowataja licha ya kusema na kuwahukumu kuwa wakosaji tambua kuwa mungu anawapenda na bado anawahitaji,usishangae ukawatangulia wewe,
Ningekuwa muumba bora ningemtanguliza yule Dada mpenda kukaa uchi sijui poshy kwini au wema lkn sina namna kila mtu kwa wakati wake,pumzika mahala ulipojiandalia wakati wa uhai wako Godzilla.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hata mir sisikiliz sana bongo flavor..ila kwa king ah acha kbs...alafu ana saui unique mnoo..nick kama yupo soft kidg.siijui rap ila king is the best...zilla kama hanaga shauo vile qnaimbaga fact tofauti na nick ana mbwembwe sana
Sasq niki wa pili si ni mshambs wa Arusha
 
Mwanamuziki huyo wa miondoko ya Hip Hop amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwao Salasala Jijini Dar, mwili umehifadhiwa Hospitali ya Jeshi Lugalo.

Atakumbukwa kwa vibao vyake kama vile Nataka na Kingzilla

Aidha, Godzilla alijizolea umaarufu na mashabiki wengi kutokana na umahiri wake wa kuimba mashahiri ya papo kwa papo 'Freestyle'

--
Inasikitisha sana kuona Kijana mpiganaji anatuacha mapema hivi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji26][emoji26][emoji26] Upumzike kwa Amani Kingzilla...salasala[emoji24]View attachment 1021043

Sent using Jamii Forums mobile app
R.I.P zilla
 
Huyu hajasikiliza NATAKA, Jinsi Game alioimba na Madee, pia kashirikishwa kwenye Mkono Mmoja Remix ya kina Chege, kuna ule waimbaga "Jinsi Tulivyo, watu wanakaa, KingZila KingZila ni balaa, everybody know",...., etc. Kifupi huyu jamaa hana nyimbo mbaya


Jamaa alikua ana kipaji sna ..huu ni msiba mkubwa sana ...!
 
Wewe ni mwanangu kabisa yaani. Nimemaliza chuo 2007. Piga mahesabu
Kwaio baada ya kumaliza chuo kuanzia 2008-2013 ulikua husikilizi redio wala kuangalia TV za Tanzania? Au ulikua bado hujanunua TV na Redio?
 
Nazidi kuikumbuka Tanzania ya Nyerere ambapo makabuli yalikuwa machache yani tofauti kabisa na sasa ambapo kila kona kuna makabuli,pia ilikuwa sio kawaida kuona kijana mdogo amefaliki kwa magonjwa tulizoea kuona sisi vijana tukizika wazee ila sasa baada ya miaka mingi kibao kimenigeukia tena yani wazee ndio tunazika vijana sasa

Apumzike kwa amani,wazazi wake(kama wapo) mungu awape wepesi katika wakati huu maana uchungu wa kuzika mtoto naujua...

Sent using Jamii Forums mobile app
Baba yake alifariki akiwa darasa la pili, ni mama yake tu ndo yupo hai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeumia mno...Kingzilla upumzike kwa amani peponi,Amina.
IMG-20190213-WA0026.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marehemu kabla ya siku 40 Za kifo chake huwa kuna alama anazifanya kwa watu waliomzunguka akisha fariki ndio unaunganisha dots.
Nimetoka kumzika mzee wangu majuzi tu. Siku mbili kabla hajafariki alikuwa ananiusia kuhusu jamaa zetu, jinsi ya kuishi na mama yetu mlezi aliyetuachia pia alikuwa ananikumbusha nisiache kumuombea kwa mwenyezi mungu siku zote. Then nilipokuwa naondoka akaniambia kuanzia leo itabidi ugangamale siku si nyingi utakua baba wa familia hivyo usikubali ndugu wakuyumbishe.

Kesho yake napigiwa simu mzee hali mbaya ndo yupo kwenye sakaratul maut, sikuweza kuongea nae tena ila nilijiona mjinga sana kutong'amua màana ya mazungumzo yetu ya jana yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imenichukua muda kuamini, Zilla amelala mapema sana.
Wale wapenda hiphop ndio na machozi yanatutoka kabisa moyoni.
Poleni kwa wote tulioguswa na msiba.

'salasala in the house.... welcome in my hood men' In KingZilla voice [emoji146]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamuziki huyo wa miondoko ya Hip Hop amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwao Salasala Jijini Dar, mwili umehifadhiwa Hospitali ya Jeshi Lugalo.

Atakumbukwa kwa vibao vyake kama vile Nataka na Kingzilla

Aidha, Godzilla alijizolea umaarufu na mashabiki wengi kutokana na umahiri wake wa kuimba mashahiri ya papo kwa papo 'Freestyle'

--
Inasikitisha sana kuona Kijana mpiganaji anatuacha mapema hivi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji26][emoji26][emoji26] Upumzike kwa Amani Kingzilla...salasala[emoji24]View attachment 1021043

Sent using Jamii Forums mobile app
Miongoni mwa watu walio niinspire kufanya freestyle alikuwa huyu jamaa.....([emoji146] zilla)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom