Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,119
Alikuwa anaumwa nn mkuu, coz wk iliyopita alikuwa XXL clouds.Kafariki Lugalo hosp[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji26]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila hata mimi bado bado kidogo nafsi inakua nzito sana kukubali ukweli kama jamaa is no longer..!!
Isijekuwa Kiki?Ila hata mimi bado bado kidogo nafsi inakua nzito sana kukubali ukweli kama jamaa is no longer..!!
View attachment 1021057
Okeee naona ana jina kubwa Ila miziki yake haivumi kivile
Ana jina kubwa na Mziki wake mkubwa!Okeee naona ana jina kubwa Ila miziki yake haivumi kivile
How.....dadavua kidogo mkuuDih ndoto za kijana mwenzetu zimekatika mapema sana. Ila jamaa alikuwa anabehave strangely recently nadhani kuna kitu hakikuwa sawa na kilikuwa kinamtatiza kiakili na kiafya pia.
Who is he?
Mkuu wa Wilaya ya Simiyu unapoishi weweWho is he?
Mkuu unapoteza nguvu zako bure kumjibu huyoWe naye ...humjui zilla..mie sifatilii sana bongoflava lakini niamshe saa9 uniulize nampenda msanii gan..nitamtaja zilla..yaan nimepiga ukunga ghafla..nimeumiaa..!we si unapenda manyimbo yenu yale ya bob marley😂😂