Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kuna kipindi ni kama alitaka kuchizi kidg..naskia aliachwa na demu wake sijui..bas akawa anaropokwa maneno ya ajabu ajabu...ila mie naamni ni madawa ya kulevya...jaman kama kipaji jamaa alikua nacho