TANZIA Msanii Golden Jacob Mbunda(Godzilla) afariki dunia

TANZIA Msanii Golden Jacob Mbunda(Godzilla) afariki dunia

Natakaaaaaaa,
Kusomeka Viwanja vyote, na Sehemu zile zenye Bataaaaaa,
Cheza na Manzi wangu lakin Usivuke Mipakaaaaaa,
Ukijifanya mtoto wa Mbwa, Sie wengine Watoto wa Pakaaaaaa,

Nikiwa nina drive safari ndefu ya mkoa kama niko alone hiki kibao hua hakikosagi kwa flash then naimba kwa sauti kubwa sana, hii huniwezesha kupunguza uchovu wa safari pia kutosinzia barabarani, sababu ya kwanini wimbo huu na sio mwengine hata sijui.

RIP King Zilla


huu wimbo mimi bwana 😂😂😂naupenda mnoo na ninauchezaga balaa jaman...asbh umepigwa mie napaka mafuta acha nianze kuucheza..khaa wanamalizia wanasema rip ..nilipiga yowe mno yaan...!huu wimbo uwe na kitu kinachochuja sauti..utapenda
 
We naye ...humjui zilla..mie sifatilii sana bongoflava lakini niamshe saa9 uniulize nampenda msanii gan..nitamtaja zilla..yaan nimepiga ukunga ghafla..nimeumiaa..!we si unapenda manyimbo yenu yale ya bob marley[emoji23][emoji23]
Usimlaumu anaweza akawa ameanza kufuatilia bongo fleva mwaka Juzi [emoji6][emoji6][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakua si msikilizaji wa radio huyo, sisi wengine sio wapenzi kivile wa bongo flavour lakini tunamfahamu,
Kwa style yake ile mshindani wake alikua Nick Mbishi

Sent using Jamii Forums mobile app


hata mir sisikiliz sana bongo flavor..ila kwa king ah acha kbs...alafu ana saui unique mnoo..nick kama yupo soft kidg.siijui rap ila king is the best...zilla kama hanaga shauo vile qnaimbaga fact tofauti na nick ana mbwembwe sana
 
King zilla alikua anaweza kurap kama 50 cent au Jay z, kile ni kipaji
hata mir sisikiliz sana bongo flavor..ila kwa king ah acha kbs...alafu ana saui unique mnoo..nick kama yupo soft kidg.siijui rap ila king is the best...zilla kama hanaga shauo vile qnaimbaga fact tofauti na nick ana mbwembwe sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa ndo dizaini ya watu wanaojikuta machino, wa kishua flan kumbe hana mbele wala nyuma!!!! Huwa nachukia sana watu wanaojisikia na kujiona bora kuliko wengine, pumbavu zake

huyo Meeya ni mtoto wa ushuani..namfaham had kwao...ana haki ya kushangaa hvyo...!n wale mom come n pick me..hahaa sio kina sie pop9t kambi
 
Dah...i can feel u...pole mno aisee nawazaga kufiwa na mzaz jamani naamini nitachizika mazima mm..nina hofu mno hyo mm...navyompenda baba yangu jaman bora nianze mm tu...hakuna msiba mzito na mgumu kama kufiwa na pacha wako pia aisee!unajiona na ww huna thamani kbs.!argh!Pole sana best..rip mom

Sure mkuu it depends na bond mliyokua nayo mimi mama kafariki almost 2yrs ila mpaka this moments bado siko sawa am sure itachukua muda sana kila kitu kukaa sawa ,it’s hard mzee msiba usikie kwa jirani sio kwako


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Meeyah ijumaa ulisema twende bendi..alafu nikashindwa kukukatalia ..sinaga mzuka na band mwenzako siku hizi😆😆..sasa badala yake twende club ukazisikie nyimbo za zilla najua watapiga zoote
 
Natakaaaaaaa,
Kusomeka Viwanja vyote, na Sehemu zile zenye Bataaaaaa,
Cheza na Manzi wangu lakin Usivuke Mipakaaaaaa,
Ukijifanya mtoto wa Mbwa, Sie wengine Watoto wa Pakaaaaaa,

Nikiwa nina drive safari ndefu ya mkoa kama niko alone hiki kibao hua hakikosagi kwa flash then naimba kwa sauti kubwa sana, hii huniwezesha kupunguza uchovu wa safari pia kutosinzia barabarani, sababu ya kwanini wimbo huu na sio mwengine hata sijui.

RIP King Zilla
Hii ngoma hatari sana...Dj hata awe na roho mbaya vipi haiweki kapuni..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sure mkuu it depends na bond mliyokua nayo mimi mama kafariki almost 2yrs ila mpaka this moments bado siko sawa am sure itachukua muda sana kila kitu kukaa sawa ,it’s hard mzee msiba usikie kwa jirani sio kwako


Sent using Jamii Forums mobile app


usemacho ni kweli tupu..mie pacha ana 19yrs chini ilakila siku siachi msahau..najikutaga namuuliza mama hv mama ilikuaje kwan..dah..tulikua tuna bond ya ajabu mno mnoo
 
Back
Top Bottom