Natokea Kanda Maalum
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 749
- 1,310
Kuna vitu viwili vimempeleka haraka zillaKuna kipindi ni kama alitaka kuchizi kidg..naskia aliachwa na demu wake sijui..bas akawa anaropokwa maneno ya ajabu ajabu...ila mie naamni ni madawa ya kulevya...jaman kama kipaji jamaa alikua nacho
1. Kuachana na Doreen Andy wa clouds FM
2. Ujio wa billnass kwenye game
Sent using Jamii Forums mobile app