Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha wivu bana wote humu tunajua wewe ni mfanyakazi wa mama dangoteUtakuaje no 1 ikawa huna mashabiki wengi mfano mzuri tukio lake hili ni kubwa halijatred kabisa limekosa Kiki, utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina viewers kubwa Kama nyimbo diamond?utakuaje no 1 ikiwa huna show nyingi na zenye ukubwa kuzidi diamond? utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina manunuzi Kama ya nyimbo za diamond?utakuaje no 1 ikiwa ufanyi vizuri international zaidi ya diamond?
usitumie nguvu nyingi kijana..kuna wakati mwingine watu huwa wanaongea utani tu..Na harmonize anaweza kuwa no 1 in the coming yearsUtakuaje no 1 ikawa huna mashabiki wengi mfano mzuri tukio lake hili ni kubwa halijatred kabisa limekosa Kiki, utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina viewers kubwa Kama nyimbo diamond?utakuaje no 1 ikiwa huna show nyingi na zenye ukubwa kuzidi diamond? utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina manunuzi Kama ya nyimbo za diamond?utakuaje no 1 ikiwa ufanyi vizuri international zaidi ya diamond?
usitumie nguvu nyingi kijana..kuna wakati mwingine watu huwa wanaongea utani tu..Na harmonize anaweza kuwa no 1 in the coming years
Ohoo Diamond,Diamond
Maua na Ruby upande wa kuimba wapo vizuri mno.Maua Sama is doing great as well.
Mpoki kapanda jukwaani.
Mpoki siyo mchekeshaji, kuchekesha kwake ni kutania tania watu tu mwanzo mpaka mwisho.
Nadhani anatakiwa kupata producer anayeweza kumpa points za kuchekesha huku akieleimisha.
Utakuaje no 1 ikawa huna mashabiki wengi mfano mzuri tukio lake hili ni kubwa halijatred kabisa limekosa Kiki, utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina viewers kubwa Kama nyimbo diamond?utakuaje no 1 ikiwa huna show nyingi na zenye ukubwa kuzidi diamond? utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina manunuzi Kama ya nyimbo za diamond?utakuaje no 1 ikiwa ufanyi vizuri international zaidi ya diamond?
Baki na Diamond wako but Harmonize ndiye msanii wetu Number Moja Tanzania...Konde Boy For EverybodyUtakuaje no 1 ikawa huna mashabiki wengi mfano mzuri tukio lake hili ni kubwa halijatred kabisa limekosa Kiki, utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina viewers kubwa Kama nyimbo diamond?utakuaje no 1 ikiwa huna show nyingi na zenye ukubwa kuzidi diamond? utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina manunuzi Kama ya nyimbo za diamond?utakuaje no 1 ikiwa ufanyi vizuri international zaidi ya diamond?
Daah nami kanishangaza sana, tatizo kubwa hapo jamaa anapenda mtu kuliko Mziki.Dah mkuu punguza unazi umezidi sana...why roho ikiuma kuona mwingine anasifiwa kuwa yuko juu unataka kila siku diamond wakati mkihojiwa mnajinasibu kuwa mnataka mziki ufike mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubali,Ukweli ndio huo.Utakuaje no 1 ikawa huna mashabiki wengi mfano mzuri tukio lake hili ni kubwa halijatred kabisa limekosa Kiki, utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina viewers kubwa Kama nyimbo diamond?utakuaje no 1 ikiwa huna show nyingi na zenye ukubwa kuzidi diamond? utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina manunuzi Kama ya nyimbo za diamond?utakuaje no 1 ikiwa ufanyi vizuri international zaidi ya diamond?
Jamaa chuki zitamuua.Baki na Diamond wako but Harmonize ndiye msanii wetu Number Moja Tanzania...Konde Boy For Everybody
Kiukweli mpoki ni wale watu wanaochekesha kupitia ukweli wa tukio
Kwa mfano ananiongelea mm n mfupi basi atanisema kwa ufupi wangu.
NB
ukweli unauma...
Hahahahahahahahah Jamaa uchekeshaji wake ni lazima amseme mtu ndio watu wacheke,Tofauti na hapo hana uwezo wa kuchekesha watu.Kama ukiweza kufatilia wachekeshaji wa nje, fanya hivyo uone tofauti.
Unapochekesha, hakikisha ndani ya baadhi ya vichekesho vyako ufikishe ujumbe wenye funzo. Siyo muda wote ni kuwasema watu.
I didn't knew that..Aendelee basi na hiyo kazi yake ya kikudaAnalipwa kwa kazi hiyo ya kulinda jina la Diamond humu. Mwenzio yuko kazini hapo.
Daah nami kanishangaza sana, tatizo kubwa hapo jamaa anapenda mtu kuliko Mziki.