Msanii Harmonize kuzindua album yake kesho

Msanii Harmonize kuzindua album yake kesho

Utakuaje no 1 ikawa huna mashabiki wengi mfano mzuri tukio lake hili ni kubwa halijatred kabisa limekosa Kiki, utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina viewers kubwa Kama nyimbo diamond?utakuaje no 1 ikiwa huna show nyingi na zenye ukubwa kuzidi diamond? utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina manunuzi Kama ya nyimbo za diamond?utakuaje no 1 ikiwa ufanyi vizuri international zaidi ya diamond?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha wivu bana wote humu tunajua wewe ni mfanyakazi wa mama dangote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuaje no 1 ikawa huna mashabiki wengi mfano mzuri tukio lake hili ni kubwa halijatred kabisa limekosa Kiki, utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina viewers kubwa Kama nyimbo diamond?utakuaje no 1 ikiwa huna show nyingi na zenye ukubwa kuzidi diamond? utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina manunuzi Kama ya nyimbo za diamond?utakuaje no 1 ikiwa ufanyi vizuri international zaidi ya diamond?
usitumie nguvu nyingi kijana..kuna wakati mwingine watu huwa wanaongea utani tu..Na harmonize anaweza kuwa no 1 in the coming years

Ohoo Diamond,Diamond
 
Mpoki kapanda jukwaani.

Mpoki siyo mchekeshaji, kuchekesha kwake ni kutania tania watu tu mwanzo mpaka mwisho.

Nadhani anatakiwa kupata producer anayeweza kumpa points za kuchekesha huku akieleimisha.


Kiukweli mpoki ni wale watu wanaochekesha kupitia ukweli wa tukio
Kwa mfano ananiongelea mm n mfupi basi atanisema kwa ufupi wangu.

NB
ukweli unauma...
 
Huyu mtu ambaye yupo upande wa light anazingua kishenziiiiiiiiiii...........
 
Dah mkuu punguza unazi umezidi sana...why roho ikiuma kuona mwingine anasifiwa kuwa yuko juu unataka kila siku diamond wakati mkihojiwa mnajinasibu kuwa mnataka mziki ufike mbali.
Utakuaje no 1 ikawa huna mashabiki wengi mfano mzuri tukio lake hili ni kubwa halijatred kabisa limekosa Kiki, utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina viewers kubwa Kama nyimbo diamond?utakuaje no 1 ikiwa huna show nyingi na zenye ukubwa kuzidi diamond? utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina manunuzi Kama ya nyimbo za diamond?utakuaje no 1 ikiwa ufanyi vizuri international zaidi ya diamond?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuaje no 1 ikawa huna mashabiki wengi mfano mzuri tukio lake hili ni kubwa halijatred kabisa limekosa Kiki, utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina viewers kubwa Kama nyimbo diamond?utakuaje no 1 ikiwa huna show nyingi na zenye ukubwa kuzidi diamond? utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina manunuzi Kama ya nyimbo za diamond?utakuaje no 1 ikiwa ufanyi vizuri international zaidi ya diamond?
Baki na Diamond wako but Harmonize ndiye msanii wetu Number Moja Tanzania...Konde Boy For Everybody
 
Utakuaje no 1 ikawa huna mashabiki wengi mfano mzuri tukio lake hili ni kubwa halijatred kabisa limekosa Kiki, utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina viewers kubwa Kama nyimbo diamond?utakuaje no 1 ikiwa huna show nyingi na zenye ukubwa kuzidi diamond? utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina manunuzi Kama ya nyimbo za diamond?utakuaje no 1 ikiwa ufanyi vizuri international zaidi ya diamond?
Nakubali,Ukweli ndio huo.
 
Kiukweli mpoki ni wale watu wanaochekesha kupitia ukweli wa tukio
Kwa mfano ananiongelea mm n mfupi basi atanisema kwa ufupi wangu.

NB
ukweli unauma...

Kama ukiweza kufatilia wachekeshaji wa nje, fanya hivyo uone tofauti.

Unapochekesha, hakikisha ndani ya baadhi ya vichekesho vyako ufikishe ujumbe wenye funzo. Siyo muda wote ni kuwasema watu.
 
Kama ukiweza kufatilia wachekeshaji wa nje, fanya hivyo uone tofauti.

Unapochekesha, hakikisha ndani ya baadhi ya vichekesho vyako ufikishe ujumbe wenye funzo. Siyo muda wote ni kuwasema watu.
Hahahahahahahahah Jamaa uchekeshaji wake ni lazima amseme mtu ndio watu wacheke,Tofauti na hapo hana uwezo wa kuchekesha watu.
 
Taji Liundi haja iheshimu show naona kama kavaa kihuni.Gadna kavaa simple tu kapendeza,Mzazi kavaa vizuri.
 
Back
Top Bottom