Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
atakuwa bado huko labda ndo maana hasikikiJamaa alikuwa Georgia akisoma sijui Kama amesharudi lalbda ndo maa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atakuwa bado huko labda ndo maana hasikikiJamaa alikuwa Georgia akisoma sijui Kama amesharudi lalbda ndo maa
Kuna ngoma aliipandisha YouTube mwaka jana amemshirikisha Ngwair.
Jina la wimbo nimelisahau
Rest in peace. Wimbo wake wa 'Action' ni moja kati kumbukumbu zitakazomfanya asisahaulike kamwe.
Ni kweli alikuwa mtaalamu wa computer..pia alipata one ya 7 form four
Haikua ghafla wamesema ameugua kwa wiki2 akawa anatumia dawa huku akiendelea na kazi zake
Ilipofika jumatano akazidiwa wakamkimbiza muhimbili wakakuta pneumonia ilishamharibu sana mapafu
Kifo hakikosi sababu lakini tukiugua tuwahi hospitali tuu
Lala salama Cpwaa💔
Poleni Sana Ndugu , Jamaa na Marafiki.
Cpwaa ametoa ngoma nyingi sana Problem,6 in da morning etc ila Naikubali Sana Pini alilopiga akiwa parklane - Semeni Ohoo.....Nilikuwa napita sehemu mida kama ya saa tano hivi nikasikia wanalipiga ilo pini nikashangaa sana nani redio gani inapiga mapini yaliyobang kitambo ,Da kumbe walikuwa wanamkumbuka.
Parklane - Semeni oh ndio pini nalolipenda sana ,mwenye nayo please wekeni hapa.
Acha matusi sasaKwahiyo hao wakina CP walikuwa wanaishi Pakistan , pumbav kabisa wewe
Tumejifungia au kuifanya habari sana?Malaria ipo au haipo ? Inaua haiui ? Hapo kwenu imeua nani?
Mungu atusaidieChangamoto za upumuaji is real
Alijikaza kiume kumbe ndani mambo yalikua yanazidi kuharibika. Kifo hakikosi sababu💔Doooh Week mbili zilizopita ,imagine watu aliokutana nao hizo week mbili.
Mlipanga afe liniMbona kafa haraka haraka hivyo ? [emoji22][emoji22][emoji22]
Typing error mkuu..Hujaona sehemu kaandika “his”Her memory tena?
Jamani 😃😃Labda anazungumzia MV Bukoba
Nimemsikia clouds mida hii amesharudi anafanya mbishe mingineatakuwa bado huko labda ndo maana hasikiki
Alisema mwenyewe kipindi Cha salama na Cha EATVUna uhakika na hilo la point 7?