Msanii Jotta aliyebadili jinsia alijizolea umaarufu kwa kuimba nyimbo za injili

Sad and totally sad [emoji20]
Mwenye Enzi Mungu nakuomba umtoe kwenye jehanamu hilo jamani uwiii [emoji22]
 
Waimbaji wengi wa kiume wenye visauti hivi huwa wanatilia mashaka sana. Kuna dogo mwingine alikua muimbaji mzr school fln hv, akiimba kama vile malaika yan. Kumbe dogo punga, akiwa kwao anavaa nguo za kike na akaenda mbali akawa anajipost mtandaoni baadae wakamtimua ile shule kwa scandal hzohzo, na ni TZ hapahapa.
 
Kwahiyo wahuni wanatafuna papuchi ya kuchonga au 0713 au both...?
 
Kama namuona shetwani akicheza Zumba huko aliko
 
Kumwabudu mtu ni hata kufata kila alichowaambia bila hata kutumia akili.
Kama vile alivyotuambia tukiingia chooni tutumie maji na si kingine, mwanaume ni kiongozi juu ya mwanamke, usidhulumu na wala usikubali kudhulumiwa, etc. Kama mtu ananiagiza kufanya haya na nk. Kufuata ni kumuabudu, acha tu nimuabudu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…