Msanii Jotta aliyebadili jinsia alijizolea umaarufu kwa kuimba nyimbo za injili

Msanii Jotta aliyebadili jinsia alijizolea umaarufu kwa kuimba nyimbo za injili

Hako katoto ka miaka 9 kalimkosea nini mtume mpaka akaamua kukatesa kwa mishahawa
Nato wamekosewa nini na marinda ya watu hadi wanataka kuhalalisha kufumuliwa......mna ajenda gani nyie minato
 
Nato wamekosewa nini na marinda ya watu hadi wanataka kuhalalisha kufumuliwa......mna ajenda gani nyie minato

katoto kenyewe hakakua na hatia mtume wenu akakafumua na kumwagilia mishahawa
 
Boss nchi za kikristo Zina uhuru wa kujieleza.
We hizi za kiarabu zitoe tu freedom uone mashoga watakavyotoka chini ya mashimo walikojificha.

#YNWA


Hii ni sawa na unasema nchi fulani ina uhuru mtu kuiba ila nchi nyingine iache milango wazi halafu uone wezi wanavyoiba.

No matter wapo au hawapo mambo ya uhuru kwenye mambo za hivyo yawe na limit.
 
Katika hili ni kwamba huduma ya uimbaji aliifanya Lusifer tena kwa kiwango kikubwa, Sasa sisi wanadamu tunapoamua kumtumikia Mungu kwa kumwimbia Maana yake Mungu akifurahiwa na huduma zetu shetani anakasirika so lazima atuwinde usiku na mchana ili kuhakikisha tunaungana nae kwenda motoni
 
Inasikitisha sana kale katoto kalikojizoelea umaruufu kwa kuimba nyimbo za injili gospel akiwa mdogo miaka ya 2012 jotta ameweza kujibadilisha jinsia na kuwa mwanamke.

ALIZALIWA JIJINI JOSÉ Antonio VIANA De HOLLANDA , Jotta alifahamika kimataifa dhairi ni mwimbaji aliyeokoka mwenye nguvu ya kumuabudu MUNGU , alijulikana baada kushiriki katika shindano la muziki nchini Brazili lililoitwa Programa Do Raul Gil mwaka wa 2011.

Lakini amemwacha MUNGU na kuenenda na Ulimwengu . Ni jukumu letu sote kuendelea kumuombea na MUNGU AKUBARIKI SANA

Kabla hutujazaa inabidi tumuombe Mungu sana. Na kabla hatujaomba tujiulize tunataka kuwazaa watoto watakaokuja kuwa kina nani kwenye hii dunia
Vinginevyo tutazaa kwa uchungu, tutalea kwa jasho kisha tutakufa kwa presha maana itakua heri na amani kwake asiyezaa

YEREMIA 22:29-30
"Ee nchi, nchi, nchi, lisikie neno la Bwana.
Bwana asema hivi, Andikeni habari za mtu huyu kwamba hana watoto, kwamba mtu huyu hatafanikiwa siku zake zote; maana hapana mtu katika wazao wake atakayefanikiwa, akiketi katika kiti cha enzi cha Daudi, na kutawala tena katika Yuda."
 
Msikilize hapa. Anasema ushoga ni mambo ya chumbani, tuwaache tusiwaingilie
View attachment 2516049


Mwanakulaaniwa
Huyu atafanya tukose wajukuu


YEREMIA 22:29-30
"Ee nchi, nchi, nchi, lisikie neno la Bwana.
Bwana asema hivi, Andikeni habari za mtu huyu kwamba hana watoto, kwamba mtu huyu hatafanikiwa siku zake zote; maana hapana mtu katika wazao wake atakayefanikiwa, akiketi katika kiti cha enzi cha Daudi, na kutawala tena katika Yuda."
 
Wakristo munajambo lenu kwenye ushoga, haki ya mama.
Juzi tu huko marekani kuna muinjilisti gani sijui kapewa uchungaji ilhali ni shoga, leo tena muimba kwaya! aagh acheni hizo bhana.

Tofauti ni kwamba walio wakristo wanafanya wazi,ila hawa wengine sasa[emoji38][emoji38]
 
Hamna chochote utaniambia niache kuwaona majuha kwa nyie kumuabudu huyo mtume wenu aliyekua anagegeda na kuchafua katoto ka miaka 9 ilhali mwenyewe alikua na wake 12, na zaidi aliishia pia kugegeda mke wa mwanaye wa kufikia, sijui alikua na nyege za aina gani huyo mzee.

Wanasema vyote hivyo alipewa maagizo na Allah[emoji23][emoji23]
 
Ninachowapendea waislam wangekemea mpaka ingeonekana kama anachukiwa ila sisi huku tunasema Mungu ni mwenye upendo nae ana haki zake mwisho wa siku wote tunageuka mashoga kwa maandiko yanayotafutiwa utelezi ili tuipende dini.

Mungu wa jota ndiye huyo huyo wako,kwake jota nawewe wote mna thamani moja.

Kujipa mamlaka mbele ya jota usoni pa Mungu ni kiherehere,Mungu hapendi shobo atakumanua.
 
Nachojiuliza mashoga wanajiingiza viungo vyao wenyewe....sio nyie nyie wanaume wanandoa mnaowatumia?
 
Back
Top Bottom