Msanii Jotta aliyebadili jinsia alijizolea umaarufu kwa kuimba nyimbo za injili

Msanii Jotta aliyebadili jinsia alijizolea umaarufu kwa kuimba nyimbo za injili

Wakristo munajambo lenu kwenye ushoga, haki ya mama.
Juzi tu huko marekani kuna muinjilisti gani sijui kapewa uchungaji ilhali ni shoga, leo tena muimba kwaya! aagh acheni hizo bhana.
Kila atendae dhambi ni wa ibilisi.
Mashoga, wachawi,wazinzi, wachawi na wauaji awatouona ufalme wa Mungu wao sehemu yao ya kudumu ni jehanamu alipoandaliwa ibilisi na wafuasi wake.
 
kwani alikua na minyege ya aina gani hakutulia kwa hao wake 12 akafuata kuchafua katoto ka miaka 9
kwa kuwa alikuwa alikuwa rijali ndo mana aliwatafuna wanawake wote hao unaosema na sio hao tu,, hata wewe ukitaka anakupelekea moto, mana nyie si mnapenda kufihlwah mpaka mmeruhusu makanisani wanaume waolewe,,
 
Hizi dhambi zote hizi na maovu yote yanayoendelea mbona ni madogo ngoja ibilisi akishafungulia kwa mlio hai mtashuhudia mazito zaidi ya haya.
Ibilisi ajafunguliwa bado yupo kuzimu kapigwa minyororo hizi zote duniani ni vurugu za shetani tu.
 
Nilikua naangalia hii Clip machoz yanatoka vile Mungu aliabudiwa hapa.

Hopefully siku moja atarudi tena kwa baba yake kama alivyorudi mwana mpotevu wa kwenye biblia.
 
Inasikitisha sana kale katoto kalikojizoelea umaruufu kwa kuimba nyimbo za injili gospel akiwa mdogo miaka ya 2012 jotta ameweza kujibadilisha jinsia na kuwa mwanamke.

ALIZALIWA JIJINI JOSÉ Antonio VIANA De HOLLANDA , Jotta alifahamika kimataifa dhairi ni mwimbaji aliyeokoka mwenye nguvu ya kumuabudu MUNGU , alijulikana baada kushiriki katika shindano la muziki nchini Brazili lililoitwa Programa Do Raul Gil mwaka wa 2011.

Lakini amemwacha MUNGU na kuenenda na Ulimwengu . Ni jukumu letu sote kuendelea kumuombea na MUNGU AKUBARIKI SANA
Katika vitu ambavyo nimeongeza umakini mkubwa kwenye kuzungumzia ni hii situation ya kuongezeka kwa mahusiano ya jinsia moja.

Soma huu mstari 👇👇
Mathayo 24:15
Basi hapo mtakapoliona chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli, limesimama katika patakatifu (asomaye na afahamu),

Anaposema chukizo la uharibifu limesimama patakatifu amekazia na ASOMAYE NA AFAHAMU.

Hii situation imetabiriwa na lazima itokee na hakika yanayotokea mnayashuhudia wenyewe. Makaasisi na madhabahu imeshambuliwa na adui na hakika hakuna kilichofichika hata baada ya kauli ya majuzi ya Papa ni wazi atakayeuona ufalme wa Mungu ni yule atakayesimama kwenye toba na kumpendezesha Mungu wakati wote.

Mnapambana dhidi ya nguvu za giza kwa vita ya mwilini. Mapepo yameshaachiwa kutoka kuzimu na utaona mwanaume akiwa na hamu ya kuingiliwa na mwanamke akitamani kumiliki penzi la mwanamke mwenzake....

Tusimame kwenye nafasi yetu kuhubiri habari njema ya ufalme wa Mungu na kumuomba rehema muda wote.

Sisi wazazi wenye watoto tusizembee kwenye kuwaombea na kuwalea ktk maadili ya kujitambua na kadhalika...

Amen
 
Hamna chochote utaniambia niache kuwaona majuha kwa nyie kumuabudu huyo mtume wenu aliyekua anagegeda na kuchafua katoto ka miaka 9 ilhali mwenyewe alikua na wake 12, na zaidi aliishia pia kugegeda mke wa mwanaye wa kufikia, sijui alikua na nyege za aina gani huyo mzee.
Kipi cha ajabu.kabla ya ujio wa sheria ya umri,hata hapa nchini zipo mila zilichumbia mimba achilia hio miaka 9.
Kuchumbia na kumuingilia ni vitu viwili tofauti.
Zamani mtoto alikuwa anachumbiwa lakini anasubiriwa hadi umri wa kuingiliwa ukifika ndipo anaanza kuingiliwa.Lakini sio kwamba waliwaingilia watoto wadogo.
Labda tu kama pana hoja ya kashfa.
Ujio wa elimu na sheria yaani modernization ndio umeyafuta haya, lakini hadi miaka ya 90 yalikuwapo hata hapa nchini
 
Katika vitu ambavyo nimeongeza umakini mkubwa kwenye kuzungumzia ni hii situation ya kuongezeka kwa mahusiano ya jinsia moja.

Soma huu mstari 👇👇
Mathayo 24:15
Basi hapo mtakapoliona chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli, limesimama katika patakatifu (asomaye na afahamu),

Anaposema chukizo la uharibifu limesimama patakatifu amekazia na ASOMAYE NA AFAHAMU.

Hii situation imetabiriwa na lazima itokee na hakika yanayotokea mnayashuhudia wenyewe. Makaasisi na madhabahu imeshambuliwa na adui na hakika hakuna kilichofichika hata baada ya kauli ya majuzi ya Papa ni wazi atakayeuona ufalme wa Mungu ni yule atakayesimama kwenye toba na kumpendezesha Mungu wakati wote.

Mnapambana dhidi ya nguvu za giza kwa vita ya mwilini. Mapepo yameshaachiwa kutoka kuzimu na utaona mwanaume akiwa na hamu ya kuingiliwa na mwanamke akitamani kumiliki penzi la mwanamke mwenzake....

Tusimame kwenye nafasi yetu kuhubiri habari njema ya ufalme wa Mungu na kumuomba rehema muda wote.

Sisi wazazi wenye watoto tusizembee kwenye kuwaombea na kuwalea ktk maadili ya kujitambua na kadhalika...

Amen
Na ulimwengu wa SAsa usipowaombea watoto wako imekula kwako,yule muovu atapanda kitu ndani mwao.Mapema wema ulinzi wa moto shetani atomgusa.
 
Chief siamini aisee.. mbona ni ke kabisa au ni restart simu??
 
Kipi cha ajabu.kabla ya ujio wa sheria ya umri,hata hapa nchini zipo mila zilichumbia mimba achilia hio miaka 9.
Kuchumbia na kumuingilia ni vitu viwili tofauti.
Zamani mtoto alikuwa anachumbiwa lakini anasubiriwa hadi umri wa kuingiliwa ukifika ndipo anaanza kuingiliwa.Lakini sio kwamba waliwaingilia watoto wadogo.
Labda tu kama pana hoja ya kashfa.
Ujio wa elimu na sheria yaani modernization ndio umeyafuta haya, lakini hadi miaka ya 90 yalikuwapo hata hapa nchini
Umeongea jambo jema sana.
Japo swali ni je, kwanini matendo maovu (shetani) yana nguvu kuliko mema?
Kwanini wale wanaojitoa kwa kutenda vema tangu wakiwa wadogo ndio hupatwa na matukio mabaya?
 
Umeongea jambo jema sana.
Japo swali ni je, kwanini matendo maovu (shetani) yana nguvu kuliko mema?
Kwanini wale wanaojitoa kwa kutenda vema tangu wakiwa wadogo ndio hupatwa na matukio mabaya?
Shetani ana nguvu Sana kwa mtu asiye na MUNGU.
Kuna kutenda mema kwa kumpendeza Mungu na kuna kutenda mema kwa kumpendeza mwanadamu.
Wanapatwa na matukio mabaya baada ya kumuacha Mungu shetani uwavamia kwa kasi Sana,SAwa na fisi akutae mzoga usio na mwenyewe,Ili akumalize kabisa.
Matendo maovu yana nguvu Sana KWA sababu ndio rahisi kuyatenda zaidi kuliko Yale mema
 
Kuimba injili hakumaanishi unamjua Mungu, nyimbo za injili hata mfanyabiashara anaimba.
Nyimbo za injili za Mungu huwa na uvuvio wa kiMungu. Touching soul, nyimbo za injili ni ujumbe na sio zile video sijui malocation.
 
Ushoga ni ishu ya kiroho zaidi kuliko kimwili, ni magonjwa wa kiroho.
Ni ishu ya psycospiritual alignment. Yaani tatizo la akili na roho kutobalance.
 
Huko Brazil kuna sanamu kubwa kuliko yote la Brian Deacon ila ndiyo ushoga na kujibadilisha jinsia kumepitiliza.
Hizo nchi ukitembelea unatakiwa uwe makini sana. Unaweza kudhani mtu mwanamke kumbe shoga watu wanatifua chemba.
 
Lawama zote kwa wanasayansi. Zamani ukizaliwa mwanaume ukitaka kua mwanamke ni kua 'anti flani' a.k.a shoga. Siku hizi tangu wagundue kubadilisha gender mwanaume anajibadilishia na kua mwanamke kabisa and viceversa

Usiwalaumu wana sayansi wameisaidia sana hii dunia,maendeleo unayoyaona bila wanasayansi tusingekuwa hapa leo.
 
Kuna siku nilikua nasikiliza hiyo nyimbo Hallelujah nikasema ivi huyu saiv atakua wapi maybe ni mtumishi mkubwa ngoja nimchungulie Instagram mwe nlichokutana nacho sijaamini macho yangu niliumia utasema nimemzaa Mimi
 
Back
Top Bottom