Good-bye
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 1,085
- 1,812
Aiseeeš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au alizaliwa bisexuals
Boss nchi za kikristo Zina uhuru wa kujieleza.Wakristo munajambo lenu kwenye ushoga, haki ya mama.
Juzi tu huko marekani kuna muinjilisti gani sijui kapewa uchungaji ilhali ni shoga, leo tena muimba kwaya! aagh acheni hizo bhana.
Hata mimi nimeumia sana nilikuwa nakafatilia sana,tumbo la uzazi limeuma kwakweliKuna siku nilikua nasikiliza hiyo nyimbo Hallelujah nikasema ivi huyu saiv atakua wapi maybe ni mtumishi mkubwa ngoja nimchungulie Instagram mwe nlichokutana nacho sijaamini macho yangu niliumia utasema nimemzaa Mimi
Ni huzuniHata mimi nimeumia sana nilikuwa nakafatilia sana,tumbo la uzazi limeuma kwakweli
AminaShetani akipiga anapiga kweli, Mungu tuokoe.
Hawa wacheza kikapu wanaleaje watoto wao? Mtoto wa magic Johnson nae aibu tupuMh!sina uhakika huenda kapenda tu, kama mtoto wa Dwayne Wade alieamua kuwa binti
hawa wana ile kusema mtoto achague anachotaka, matokeo yake ndio hayaHawa wacheza kikapu wanaleaje watoto wao? Mtoto wa magic Johnson nae aibu tupu
Wapi ulisikia akisema hivi wewe kada wa uvccmLissu atakuambia hizi ni faragha, tusiingilie
Hivi Tumbo la uzazi linaumaje ?Hata mimi nimeumia sana nilikuwa nakafatilia sana,tumbo la uzazi limeuma kwakweli
So uhuru wa kunieleza ndo unaleta ushoga.Boss nchi za kikristo Zina uhuru wa kujieleza.
We hizi za kiarabu zitoe tu freedom uone mashoga watakavyotoka chini ya mashimo walikojificha.
#YNWA
Unapata hisia pia?Inamaana umeleta habari huna uhakika nayo? Unaelewa maana ya kubadil jinsia? Ni kwamba mbupu zote zinatolewa unaelewa ka maku kadogo Tena na ki rubber ndani kuonesha hujawah guswa na unavunjwa bikra Kama kawaida
Huko kwa wakina kampa papa si hata sande skuu vya miaka 3 mnapelekea moto....ukubwani ndo hayo ya moshi
kwa kuwa alikuwa alikuwa rijali ndo mana aliwatafuna wanawake wote hao unaosema na sio hao tu,, hata wewe ukitaka anakupelekea moto, mana nyie si mnapenda kufihlwah mpaka mmeruhusu makanisani wanaume waolewe,,
Kipi cha ajabu.kabla ya ujio wa sheria ya umri,hata hapa nchini zipo mila zilichumbia mimba achilia hio miaka 9.
Kuchumbia na kumuingilia ni vitu viwili tofauti.
Zamani mtoto alikuwa anachumbiwa lakini anasubiriwa hadi umri wa kuingiliwa ukifika ndipo anaanza kuingiliwa.Lakini sio kwamba waliwaingilia watoto wadogo.
Labda tu kama pana hoja ya kashfa.
Ujio wa elimu na sheria yaani modernization ndio umeyafuta haya, lakini hadi miaka ya 90 yalikuwapo hata hapa nchini
So uhuru wa kunieleza ndo unaleta ushoga.
Kwa Taarifa yako nchi kiislam watu wana pumuliana sana sema sheria kali ndo zinawafanya wawe Hivyo