Brown ad
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 345
- 204
Unga upo kazini ! Alafu cha ajabu kwenye bajeti Unga huu haujatozwa kodi hata kidogoo....
hahaha yaan ungepita hata tozo la sigara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unga upo kazini ! Alafu cha ajabu kwenye bajeti Unga huu haujatozwa kodi hata kidogoo....
Dah!! Kama ni kweli R.I.P Rais Wa Ghetto....Nakumbuka Xmass ya mwaka 2001 Kilimanjaro ...tulikuwa watoto wema na wenye akili Za kutosha
Sent from my BlackBerry Z10 using JamiiForums
madawa ya kulevya yatawamaliza madogo na list itakuwa kubwa sana na ndefu
Too late then, naona kusema RIP inakuwa ngumuRIP hiphop commander.
Ndio alikuwa ameanza vita dhidi ya madawa ya kulevya kupitia sanaa yake.
bado TID,hatumuombei ila akiacha unga atasalimika,na kwa bahat mbaya medi zetu huwa zinaficha ukweli wa mambo,Langa alikuwa anaenda sana mwananyamala maeneo ya Cabacabana bar kwa ajili ya kufata UNGA