Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanakaa vikao sa izi kupanga kamati ya mazishi, na namba za simu kwa ajili ya kuchangia.
Watu wanakaa vikao sa izi kupanga kamati ya mazishi, na namba za simu kwa ajili ya kuchangia.
Nimejaribu kufuatilia katika blogs na vyanzo vingine vya habar,nimekuta NI KWELI LANGA KAFARIKI LEO saa kumi jioni za huko tanzania. Langa alikuwa amelazwa muhimbili tangu ijumaa,baada ya kushikwa na malaria kali na kumfanya ashindwe hata kujitambua.
Najua yatajitokeza mengi likiwemo la kutumia unga lakini kuna siku niliwahi kusema humu kuwa ni vema tukawa tunawasaidia hawa vijana wakat hawajaharibikiwa zaidi kuliko kuonesha kuwafaha zaidi wakisha patwa nam atatizo kama hivi.
Eeehh MUNGU ibariki nchi yanhu tanzania wabariki na vijana wote.
Wafe wote waisheko tukae kwa amani! Unga noma!
wazee wa fursa?Show zetu safari hii hatuziweki pending?
jamani mbona sembe zinatumalizia nguvu kazi
anafuata Mr.Blue sasa
Nae ni teja mzuri tu.....
Wataisha mwaka huu
madawa ya kulevya yatawamaliza madogo na list itakuwa kubwa sana na ndefu