Msanii Lina Sanga aporomoshewa matusi kwa kuanika picha za nusu utupu za ujauzito wake

Alafu si alikua anajiita mlokole huyu kuna siku alipost picha yupo BCIC kwa Askofu Gamanywa.Hapo ndio nduguzetu walokole wanavyokuwaga wanafiki,Zamani walikua wanatucheka wakatoliki eti kwanini tunafungisha ndoa wakati MTU kashazaa tayari sasa kipo wapi sikuhizi mbona walokole nao wanafungisha ndoa mwanamke ana mimba tayari akiingia kanisani na kibakuli cha kutemea mate.
 
Mimba si yake uchi si wake. Sijaona kibaya hapo. Mbona wakivaa vichupi Kwenye nyimbo hamsemi
 
Inasikitisha sana...
Ila...
Inafurahisha pia...

Ni muda sijaongea na huyu manzi...


Cc: mahondaw
 
Mimba yenyewe ni ya Madee unategemea nini na kile kichwa cha ndumu plus mitungi?
 
Mkuu baada ya kujifungua ndo alianza kuzieka hizo picha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…