Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
stomarchThis is beyond insanity...after displaying that potruded stomarch and so forth...what's next then??Women are our moms and sisters but with these stuffs they are posting on the social networks...i dare to say that something is wrong somewhere ethically and morally..God bless all women who know their value.
zote zake mkuuPicha yake halisi ni hipi kati ya hizo mbili Kwanza kabla sjaanza kuchangia
Aisee!! watu wengine bwana sasa hatuendelei vipi mtu kuweka picha yuko uchi ndo kuendelea!!!!!!Kila mtu na maisha yake
Mnajifanya kukosoa' nyie ndio mliomuumba , jali yako, yakikushinda tuliza domo , kalale ... We inakuuma nn umelazimishwa kumuangalia
Upuuzi tu ndo maana hamuendelei
Is that the only thing you comprehend on this post?? You need an intellectual maturity dude!! Typo error can occur at any time and bear in mind that i ain't an angel.Grow up kid!stomarch
Mtoto wa kwanza ndio kuanika picha za vitumbo na vichup!! Acha ulimbukeni mkuuMnaomtukana hamjui raha ya mtt wa kwanza
Huyu bibie hajiheshimu kabisa.
Alafu baba yake ni Askofu, sio kumdhalilisha mzee wake kweli?Huyu dada ni limbukeni.
hivi nani anawapaga mimba hawa malaya wa mjini wasojiheshimu???
Huyu dada ni limbukeni.
hivi nani anawapaga mimba hawa malaya wa mjini wasojiheshimu???
KWAKUWA AMEONA NI JAMBO LINALOFAA KUONESHA UMBO LA MIMBA YAKE HADHARANIView attachment 504899 Linah apokea kichambo kwa picha hizi
Msanii wa muziki Bongo Linah Sanga, wiki hii ameamua kutoa picha za muonekano wa tumbo lake lilivyo kwa sasa.
Katika moja ya picha, baadhi ya watu na wadau wa msanii huyo wamemtupia maneno huku wengine wakimtaka avae dera kama nia ni kuonesha tumbo lake.
Wengine wameishia kusema "wanga" ni wengi,unaweza kupigwa jicho tu la husda ukaishia kuzaa mjusi.Hali hii imefanya watu waamini ni kinyume cha maadili na kuiga utamaduni wa magharibi kuonyeshatumbo lenye ujauzito
umarekani utatumaliza wabongo#cheapfameView attachment 504899 Linah apokea kichambo kwa picha hizi
Msanii wa muziki Bongo Linah Sanga, wiki hii ameamua kutoa picha za muonekano wa tumbo lake lilivyo kwa sasa.
Katika moja ya picha, baadhi ya watu na wadau wa msanii huyo wamemtupia maneno huku wengine wakimtaka avae dera kama nia ni kuonesha tumbo lake.
Wengine wameishia kusema "wanga" ni wengi,unaweza kupigwa jicho tu la husda ukaishia kuzaa mjusi.Hali hii imefanya watu waamini ni kinyume cha maadili na kuiga utamaduni wa magharibi kuonyeshatumbo lenye ujauzito