Msanii Lina Sanga aporomoshewa matusi kwa kuanika picha za nusu utupu za ujauzito wake

Msanii Lina Sanga aporomoshewa matusi kwa kuanika picha za nusu utupu za ujauzito wake

Anasema anatokea familia yenye maadili ya DINI.
Wakinga HOYEEEE[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
This is beyond insanity...after displaying that potruded stomarch and so forth...what's next then??Women are our moms and sisters but with these stuffs they are posting on the social networks...i dare to say that something is wrong somewhere ethically and morally..God bless all women who know their value.
stomarch
 
Huyu dada ni limbukeni.
hivi nani anawapaga mimba hawa malaya wa mjini wasojiheshimu???

Kuna kitu mimi sikielewi katika maisha ya kila siku ya binadamu. Kwanini sisi walimwengu ni wepesi sana kuhukumu maisha ya wenzetu???? Yaani ukisoma bandiko la huyu mwenzetu it is like.....yeye is super human. Na kila mtu inabidi aishi na kuyaona maisha yeye anavyoyaona. What makes you think that you can impose your values on others? Umeshamuhukumu ni Limbukeni, Malaya, hajiheshimu. Sidhani kama uko sahihi. Jitafakari.

Tuache kuhukumu maisha ya wengine. Linah ana amaisha yake. Let her do what makes her happy.

Mimi simjui na wala si shabiki wake huyu dada. Lakini naamini ana haki ya kufanya anayoyafanya na mwili wake.
 
View attachment 504899 Linah apokea kichambo kwa picha hizi

Msanii wa muziki Bongo Linah Sanga, wiki hii ameamua kutoa picha za muonekano wa tumbo lake lilivyo kwa sasa.

Katika moja ya picha, baadhi ya watu na wadau wa msanii huyo wamemtupia maneno huku wengine wakimtaka avae dera kama nia ni kuonesha tumbo lake.

Wengine wameishia kusema "wanga" ni wengi,unaweza kupigwa jicho tu la husda ukaishia kuzaa mjusi.Hali hii imefanya watu waamini ni kinyume cha maadili na kuiga utamaduni wa magharibi kuonyeshatumbo lenye ujauzito
KWAKUWA AMEONA NI JAMBO LINALOFAA KUONESHA UMBO LA MIMBA YAKE HADHARANI
BASI ITAKUWA VIZURI ZAIDI AKIONESHA NA SEHEMU ILIPOINGILIA HIYO MIMBA
 
Wenyewe wanaita maternity photoshoot, C&P kutoka kwa wazungu...Nakumbuka mama zetu walikua wanavaa dera zao mpiga picha anakuja wanapigwa wakiwa wamekaa upande upande tumbo lioekane.ila hawa wanaojiganya wame evolve kifikra wanafanya vituko kama hivi.
 
View attachment 504899 Linah apokea kichambo kwa picha hizi

Msanii wa muziki Bongo Linah Sanga, wiki hii ameamua kutoa picha za muonekano wa tumbo lake lilivyo kwa sasa.

Katika moja ya picha, baadhi ya watu na wadau wa msanii huyo wamemtupia maneno huku wengine wakimtaka avae dera kama nia ni kuonesha tumbo lake.

Wengine wameishia kusema "wanga" ni wengi,unaweza kupigwa jicho tu la husda ukaishia kuzaa mjusi.Hali hii imefanya watu waamini ni kinyume cha maadili na kuiga utamaduni wa magharibi kuonyeshatumbo lenye ujauzito
umarekani utatumaliza wabongo#cheapfame
 
Huyu manzi ni kichaa kweli......na mimba ikichoropoka aje atume pia
 
This is not fair Linah, this is too much, you are my favorite singer but for this I undergrade you, ficha mimba onyesha mtoto, waweza zaa maji matupu sasa sijui sifa zitakutoka ama vp..shame on you!!
 
Back
Top Bottom