Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Watoto wa digital kwenye ubora wa kipekee...
Huu ujinga ujinga wa kuiga vitu visivyo na maana unakera sana.
Huu ujinga ujinga wa kuiga vitu visivyo na maana unakera sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu dada ni mpuuzi haifai...w
wanajifanya kuiga mila za magharibi ndio tatizo, wameona amberose kapiga picha hivyo na wao haaaooo, badala ya mtu kufanya yako ukaheshimika wao ndio unataka kutuletea yaaale ati ooh Israel na Uingereza hawana katiba, kwani ni lazima tuwafate wao badala ya kufanya yetu?
sikuwahi kudhani kuna watu wanasapoti huu upuuzi.Kuna kitu mimi sikielewi katika maisha ya kila siku ya binadamu. Kwanini sisi walimwengu ni wepesi sana kuhukumu maisha ya wenzetu???? Yaani ukisoma bandiko la huyu mwenzetu it is like.....yeye is super human. Na kila mtu inabidi aishi na kuyaona maisha yeye anavyoyaona. What makes you think that you can impose your values on others? Umeshamuhukumu ni Limbukeni, Malaya, hajiheshimu. Sidhani kama uko sahihi. Jitafakari.
Tuache kuhukumu maisha ya wengine. Linah ana amaisha yake. Let her do what makes her happy.
Mimi simjui na wala si shabiki wake huyu dada. Lakini naamini ana haki ya kufanya anayoyafanya na mwili wake.
Labda alitoa sana so imekuwa ajabu
Kwa anaejua kaolewa huyu au
kwakweliWanaume wa dar[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Huyu dada ni limbukeni.
hivi nani anawapaga mimba hawa mala.ya wa mjini wasojiheshimu???
Duuuh... " hawa ndio wakina mama wa mwendo kasi inasikitisha kwa kwelii
Mbna kina Beyonce wakipiga mnaishia kugonga like... Wabongo acheni unafiki
Hicho ni kipindi kitamu sana kwa kijana ukifika utajua
Zote zake baada na kabla ajatumia makopo,kuna original na ya dukani.Picha yake halisi ni hipi kati ya hizo mbili Kwanza kabla sjaanza kuchangia
unaoneshaje fahari ya mtoto wa kwanza kabla ya baba yake /yao? What if kama kuna baba attempted kadhaa humu mitandaoni?Mnaomtukana hamjui raha ya mtt wa kwanza