Msanii Lina Sanga aporomoshewa matusi kwa kuanika picha za nusu utupu za ujauzito wake

Msanii Lina Sanga aporomoshewa matusi kwa kuanika picha za nusu utupu za ujauzito wake

Watoto wa digital kwenye ubora wa kipekee...

Huu ujinga ujinga wa kuiga vitu visivyo na maana unakera sana.
 
ivi what is maadili nyie mnaosemaga maadili××××××3 wadogo zenu, namabibi wanabakwa na kulawitiwa daily mbona hamuyasemi? uyu ni mtu mzima na maisha yake
 
huyu
w

wanajifanya kuiga mila za magharibi ndio tatizo, wameona amberose kapiga picha hivyo na wao haaaooo, badala ya mtu kufanya yako ukaheshimika wao ndio unataka kutuletea yaaale ati ooh Israel na Uingereza hawana katiba, kwani ni lazima tuwafate wao badala ya kufanya yetu?
huyu dada ni mpuuzi haifai...
kutukalia uchi ndio nini?
ngoja wazae mijusi.
mtu mjamzito lakini hajiheshimu hata ¼
 
Kuna kitu mimi sikielewi katika maisha ya kila siku ya binadamu. Kwanini sisi walimwengu ni wepesi sana kuhukumu maisha ya wenzetu???? Yaani ukisoma bandiko la huyu mwenzetu it is like.....yeye is super human. Na kila mtu inabidi aishi na kuyaona maisha yeye anavyoyaona. What makes you think that you can impose your values on others? Umeshamuhukumu ni Limbukeni, Malaya, hajiheshimu. Sidhani kama uko sahihi. Jitafakari.

Tuache kuhukumu maisha ya wengine. Linah ana amaisha yake. Let her do what makes her happy.

Mimi simjui na wala si shabiki wake huyu dada. Lakini naamini ana haki ya kufanya anayoyafanya na mwili wake.
sikuwahi kudhani kuna watu wanasapoti huu upuuzi.
ngoja muone nyuchi za watoto zenu ndipo mtaona aaah kumbe yule dada alikemea kwa maana
 
Ila akipiga Hamisa Mobeto au Zari wa Diamond mnakuja na midomo mirefu kuwasifu...

Wabongo kwa double standard hatujambo
 
huyu ni zaidi ya ujinga.
mdada mtu mzima amekomaa
lakini bado anafanya vitu vya ajabu ajabu..
sikuhizi mimba zimekua fashion inayotrend ... wanapata mimba ili wapige hayo mapicha ya uchi.
Labda alitoa sana so imekuwa ajabu

Kwa anaejua kaolewa huyu au
 
Mhurumieni jamani,maisha magumu mtaani na waoaji hakuna,asichanganyikiwe tu!
 
Tatizo kila wakiona kitu wanaiga anataka aonekane kama Beyonce. Wakati yeye ni mnyarukole na huo sio utamaduni wake yeye anaona ujiko kumbe ujinga tu.
 
Maisha yake uamuzi wake. Mbona za kina Beyonce mnalike na kufuatilia ila Linah inakua scandal smh
 
Anamuiga beyonce, mbelembele tuu hata utembembee uchi! Huku bongo tunakuona malaya tuu
 
Anaboa utadhani ye ndo wa kwanza kuzaa,atazaa hadi achoke ndo kila kitumbo atakuwa akikionyesha au alisimangwa hivo anawakata shobo,aache ushamba.
 
Back
Top Bottom